Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchii Rais anaweza kuteua na kumtengua yoyote wakati wowote na bila sababu kasoro CAG au Majaji.
Alikuwa mpiga diri mkubwa huku akihakikishiwa ulinzi na bosi kwa manufaa yao binafsi sema wewe hayajakukuta.ccm wote mapanya.
Lakini Lukuvi alijitahidi mno kuitendea haki nafasi yake.
Haya mapanya yaliyopewa nafsi very soon mtasikia vilio.
Ni zamu ya watoto wa mjini kutafuna minofu ya twiga.
Mifupa ya nyama wanazokula MA TP wa dashlam watakurushia mlala hoi.Kwanini unasema hivyo Stroke
Akatulie isimani alee wajukuuIla alionewa...
Hivi kuna mtu anapenda kunyang'anywa tonge la pilau mdomoni?Kwani kutenguliwa ni kosa wakuu.
Kama mtu alichaguliwa basi akitenguliwa pia ni kawaida tu wakuu.
Mbona CAG mzee wetu Asad alifutwa kazi na mzee mwendazake?Nchii Rais anaweza kuteua na kumtengua yoyote wakati wowote na bila sababu kasoro CAG au Majaji.
Huyo ni waziri zaidi ya 25yrs.Ajiajiri huko au anazuga kwamba maisha magumu.
Amekuwa Waziri for more than 10yrs. Amekuwa ktk nafasi za juu kwa muda mrefu.
Anatuzuga tu
Haswaaaa hilo ndiyo neno wacha watafune bata .Ni zamu ya watoto wa mjini kutafuna minofu ya twiga.