Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Nyie mataila kweli , kwaiyo Ridhiwan ndio waziri wa Ardhi? Sasa na yule msukuma mwenzenu anatolewa paleYaani unatengua Lukuvi unaweka Rithwani. Hii ni dharau ya kiwango cha juu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mataila kweli , kwaiyo Ridhiwan ndio waziri wa Ardhi? Sasa na yule msukuma mwenzenu anatolewa paleYaani unatengua Lukuvi unaweka Rithwani. Hii ni dharau ya kiwango cha juu sana
Utendaji wake ulikuwa bora sana kuliko hao akina makatani na miguu chemba. Ndio maana watu wanamsumbua Lukuvi kujua hicho cheo tulichoaminishwa utafanya kazi kipo?Kwani kutenguliwa ni kosa wakuu.
Kama mtu alichaguliwa basi akitenguliwa pia ni kawaida tu wakuu.
Saana tu,na huyo ilikuwa miongoni mwa wanaopinga katiba mpyaAtajua umuhimu wa katiba mpya.
Aache kulalamika sasaHuyo ni waziri zaidi ya 25yrs.
Tangu 1995 ni waziri au mkuu wa mkoa.
kwani chombo hakiripoti habari za binadamu? Au huyu sio binadamualiyeandika ni mnafiki!
kwani juna chanzo chochotecha habar kimeripot?
Anajua kilicho mtoa. Alikata simu ya mkubwa.
Aliishazoea kuvimbiwa.Mpuuzi, yeye Lukuvi ndiye aliyekuwa na hakimiliki ya uwaziri wa ardhi!
Halafu ebu angalia chuki zako unamtaja Ridhiwan kwani yeye ndiye aliyechukua nafasi ya Lukuvi, aliyechukua nafasi ni aliyekuwa naibu wake.
Halafu hilo Lukuvi liwe linatosheka ameingia serikalini toka enzi za Mwinyi 1994 baadaye akaendelea wakati wa Mkapa, Kikwete na Magufuli hatosheki tu?