Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna siku alikua na kikao cha kuhusu wizara yake, sasa kaongea kamaliza, afu mwingne akafuata kuongea, sijui alimuudhi nn, lukuvi akabenua mdomo afu mkono wake akauwekaje na kumalizia sonyoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilicheka ile siku, nkajisemea mwenywe, ingekua kijana wa mtaan angeambiwa sio ridhiki. Uwiiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alikuwa na kiburi sana huyo