Inawezekana Ila mtoto pendwa pia aliwahi kumvimbia na kumjibu hovyo mpango, Ila mwisho nani alibaki?Kwa chongolo umetuongopea mchana kweupee
Nikikumbuka mtoto pendwa aliyekuwa anajimilikisha dsm alikuwa anamjibu hovyo huyo chongolo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kuna baadhi ya washauri wake ndio wanamuharibia kwenye hii 'Kesi' ya Mwamba awaache Polisi waaibike yeye ajitoeThis is the fact. Hongera kwa kuliona hilo na wewe. Mama Samia ni Mtanzania halisi na muungwana.
Majimbo mengi yapo hoi, watu wanapambana na hali zao.Umewahi kufika jimboni kwake?!
Hizi Kashata tu, JPM alimwandaa kabudi hutaki kufaZa ndani kabisa Waziri William ndiye kiongozi pekee ambaye hakuwahi kupishana na JPM.
Ndiye Waziri pekee aliyekuwa na uwezo wa kumshusha munkali JPM duru 'zinatabanaisha.'
Wakati fulani inasemekana baadhi ya mawaziri wenzake walipokuwa na mgogoro wa wazi na JPM walikuwa wanamfuata William wakiomba akawaombee msamaha.
Vyanzo vya uhakika vinatabanaisha Magufuli alimpenda William kwa sababu ni mkweli na hakuwahi kumdanganya hata alipotaka ukweli wa jambo fulani kutoka kwa wachunguzi ilibainika ni kweli.
Walio karibu na JPM wanadai wakati fulani 2020 alifikiria kumteua William awe Waziri Mkuu.
Hata ile kauli ya JPM ya kusema William na mwenzake ni wazee hawawezi kuwa Rais ilikuwa ni geresha tu bali 2025 KWA NGUVU YA JPM WILLIAM ANGEKUWA MGOMBEA WA U RAIS TANZANIA kupitia CCM.
Nyongeza:
Baada ya Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi chaguo la Magufuli ilikuwa Chongolo amteue kuwa Katibu mkuu wa CCM
Kwa hiyo Chongolo hayupo hapo kwa bahati mbaya mama aliendeleza tu huo uteuzi kwa sababu alikuwa anajua.
Kabudi??????? Haiwezi kuwa kweli hata kidogoHizi Kashata tu, JPM alimwandaa kabudi hutaki kufa
Umewahi kufika jimboni kwake?!
Kuna baadhi ya washauri wake ndio wanamuharibia kwenye hii 'Kesi' ya Mwamba awaache Polisi waaibike yeye ajitoe
Samia anatabia za Kitanzania, sio lile Jinamizi la Burundi.
Unaelewa maana ya nyongeza ama unataka kufurahisha genge ndugu!Mada ni Lukuvi, ukaruka ruka humo ndani ukaangukia kwa Chongolo!
Ila unahangaika sana aisee, huyo Magufuli alishakufa sasa hivi anapambana na MUNGU wake huko aliko.
Ngazi yake ya kuletea maendeleo kwa sasa ni jimbo kama ameshindwa kupeleka maendeleo kwenye jimbo lake tu kwa kipindi cha miaka 20 atawezaje kwenye ngazi ya taifa kwa miaka 5 au 10?!Kuhusu jimboni kwake i don'gave f.....!!. Nitampigia awe rais wa nchi sio jimbo.
Kama hakuna maendeleo nadhani atakufaa hata wewe,maana hamkawii kusema anapendelea kwae sasa kama haja fanya lolote jimboni kwake then ni mtu sahihi kwako pia.
Kama mtu anashindwa kuleta maendeleo kwenye jimbo atawezaje kwenye taifa zima?Majimbo mengi yapo hoi, watu wanapambana na hali zao.
Hakuwa Lukuvi,alikuwa marehemu waziri wa mambo ya nje BaloziLukuvi huyuhuyu aliyefokewa na kuambiwa kampatia kazi mkewe ATCL kwa upendeleo kutumia cheo chake cha uwaziri na kulazimika kumuachisha kazi ndio alikua kipenzi cha Jiwe!!??? Sasa kama hauelewani naye inakuaje?
Jk alikua mbunge chalinze, palikua hoi hadi anapta uraisiKama mtu anashindwa kuleta maendeleo kwenye jimbo atawezaje kwenye taifa zima?
Uwe na adabu ewe mtoka pabaya!Lukuvi yule mbinua midomo kakutuma uje utest zali?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sasa huwa wanapimwaje kabla ya kupewa uongozi?!Jk alikua mbunge chalinze, palikua hoi hadi anapta uraisi
JPM alikua mbunge chato, palikua hoi hadi anapata uraisi
Mama Samia alikua mbunge makunduchi, pako hoi hadi Sasa
Ikiwa hao walikua maraisi pamoja na majimbo waliyotoka kuwa hoi
Iweje kwa lukuvi iwe issue?
Japo Mimi simkubali lukuvi
Ngazi yake ya kuletea maendeleo kwa sasa ni jimbo kama ameshindwa kupeleka maendeleo kwenye jimbo lake tu kwa kipindi cha miaka 20 atawezaje kwenye ngazi ya taifa kwa miaka 5 au 10?!
Umechanganya mkuu. Issue ya mke wa marehemu Balozi ilikua ni kupishana lugha na traffic police. Suala Lukuvi lilikua ajira ta mke wake ATCLHakuwa Lukuvi,alikuwa marehemu waziri wa mambo ya nje Balozi