Kabinti ka ludilo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 409
- 468
Hatukuwa nae jf since 2020 tatizo nini?Duh,Apumnzike kwa amani. Huyu alikuwa anakula good time na Wabebez. Ila maisha yanazidi kunifundisha kuwa Humble.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatukuwa nae jf since 2020 tatizo nini?Duh,Apumnzike kwa amani. Huyu alikuwa anakula good time na Wabebez. Ila maisha yanazidi kunifundisha kuwa Humble.
Anajua mwenyewe.Hatukuwa nae jf since 2020 tatizo nini?
Being humble isn't a guarantee that you won't die.Duh,Apumnzike kwa amani. Huyu alikuwa anakula good time na Wabebez. Ila maisha yanazidi kunifundisha kuwa Humble.
Nasikiaga wanazalishaga Kila portMabaharia watu?!
Usikubali kunyanganywa haki yako ya watoto....umetoa sperm sio upepo pale ..usikubali nakuambia.Wanawake ndo chanzo, mnapenda kubaki na watoto mkiwafundisha sisi ni wabaya
Le kibamias naskia alkuwa mwamba na nusu huyu jamaaRIP le mubebez. Mzee malechela anazika tu watoto masikini [emoji24][emoji24][emoji24]
Kwahyo tuendelee kujifukiza na kunawa au tumwombe Mungu tu?Mwenye any updates kuhusu Boma yee, Nye! Nye! Nye! Nasikia is no moreView attachment 2621132
Mama zetu ni kuwa nao makini sana. Ni mabingwa wa kuficha makosa yao na kuwapandikiza watoto chuki. Kuna ambao hawajaachana na waume zao ila utakuta dingi home hapewi umuhimu na watoto wake mwenyewe. Wazee wengi wanaishi kwa masikitiko sana chnazo kikiwa ni wake zao. Ubaya ni kuwa madingi wanakausha ili wasionekane wadhaifu. Watoto wengi wapumbavu wasichokijua ni kuwa kwenye maamuzi muhimu baba ndo mwamuzi wa mwisho hivyo ukicheza karata zako vizuri kwa dingi kuna mambo makubwa ambayo kwa mama huwezi pata.Wanawake ndo chanzo, mnapenda kubaki na watoto mkiwafundisha sisi ni wabaya
Mimi huo upumbavu nimeukataa mtu akiniona sina faida, pesa zangu nazo asizitegemee, yeye amfate mama yake ampe.Mama zetu ni kuwa nao makini sana. Ni mabingwa wa kuficha makosa yao na kuwapandikiza watoto chuki. Kuna ambao hawajaachana na waume zao ila utakuta dingi home hapewi umuhimu na watoto wake mwenyewe. Wazee wengi wanaishi kwa masikitiko sana chnazo kikiwa ni wake zao. Ubaya ni kuwa madingi wanakausha ili wasionekane wadhaifu. Watoto wengi wapumbavu wasichokijua ni kuwa kwenye maamuzi muhimu baba ndo mwamuzi wa mwisho hivyo ukicheza karata zako vizuri kwa dingi kuna mambo makubwa ambayo kwa mama huwezi pata.
Humu mtandaoni unaweza mtukana baba yako mzaziYule ni Baba yako kabisa au anamzidi Baba yako, si Kijana
R.I.E.P. Marshall Le Mutuz
Memba mwenzetu mkongwe humu
Ndo hivyo hao nao wanatakiwa wawe wanakuja kwa heshimaHumu mtandaoni unaweza mtukana baba yako mzazi
Hapa nimesema in relation na Imani,kwamba baada ya kifo ni hukumu. Ukiwa humble huwezi tendea wengine mabaya,hata ikitokea utakuwa mtu wa maombi ,mtu wa kuwa karibu na Mungu.Hata ukifa siku ya ufufuo utakuwa mwema.Being humble isn't a guarantee that you won't die.
Death is a must, whether you are humble or not...!!
Alikua na umri gani huyu MTU wa totoz?Hapa nimesema in relation na Imani,kwamba baada ya kifo ni hukumu. Ukiwa humble huwezi tendea wengine mabaya,hata ikitokea utakuwa mtu wa maombi ,mtu wa kuwa karibu na Mungu.Hata ukifa siku ya ufufuo utakuwa mwema.
The difference is where you go after dying. Humble people go to heaven while arrogant pigs end up in hell.Being humble isn't a guarantee that you won't die.
Death is a must, whether you are humble or not...!!
Eti Unacheka😅Ahahahha
Watu wamevulugwa sana😂Dah kweli hii jf[emoji38][emoji38][emoji38]
hiko kitendo cha juzi xWife wake kuvujisha charting yake baina ya Lemutuz na Watoto kwa Mange. niliona le mutuz akitumia nguvu kubwa kujitetea kwa kusema xwife ndio kampa Mange hiyo charting. hii pia imechangia kufariki kwa huyu Lemutuz. sisi huku jf ni Mashahidi Mobimba hakupenda kushindwa jambo. kama mtakumbuka ugonjwa wa moyo hauhitaji distables kama zile.Anajistukia maana nae kachangia[emoji26][emoji26]
Kutwa kumchamba baba wa watu vitu vyenyewe sensitive sasa kama familia
Tena kama hii ya juzi ameumia sana asee