TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

Wanawake ndo chanzo, mnapenda kubaki na watoto mkiwafundisha sisi ni wabaya
Mama zetu ni kuwa nao makini sana. Ni mabingwa wa kuficha makosa yao na kuwapandikiza watoto chuki. Kuna ambao hawajaachana na waume zao ila utakuta dingi home hapewi umuhimu na watoto wake mwenyewe. Wazee wengi wanaishi kwa masikitiko sana chnazo kikiwa ni wake zao. Ubaya ni kuwa madingi wanakausha ili wasionekane wadhaifu. Watoto wengi wapumbavu wasichokijua ni kuwa kwenye maamuzi muhimu baba ndo mwamuzi wa mwisho hivyo ukicheza karata zako vizuri kwa dingi kuna mambo makubwa ambayo kwa mama huwezi pata.
 
Mama zetu ni kuwa nao makini sana. Ni mabingwa wa kuficha makosa yao na kuwapandikiza watoto chuki. Kuna ambao hawajaachana na waume zao ila utakuta dingi home hapewi umuhimu na watoto wake mwenyewe. Wazee wengi wanaishi kwa masikitiko sana chnazo kikiwa ni wake zao. Ubaya ni kuwa madingi wanakausha ili wasionekane wadhaifu. Watoto wengi wapumbavu wasichokijua ni kuwa kwenye maamuzi muhimu baba ndo mwamuzi wa mwisho hivyo ukicheza karata zako vizuri kwa dingi kuna mambo makubwa ambayo kwa mama huwezi pata.
Mimi huo upumbavu nimeukataa mtu akiniona sina faida, pesa zangu nazo asizitegemee, yeye amfate mama yake ampe.
Kusoma serikali inasomesha bure
 
Being humble isn't a guarantee that you won't die.

Death is a must, whether you are humble or not...!!
Hapa nimesema in relation na Imani,kwamba baada ya kifo ni hukumu. Ukiwa humble huwezi tendea wengine mabaya,hata ikitokea utakuwa mtu wa maombi ,mtu wa kuwa karibu na Mungu.Hata ukifa siku ya ufufuo utakuwa mwema.
 
Hapa nimesema in relation na Imani,kwamba baada ya kifo ni hukumu. Ukiwa humble huwezi tendea wengine mabaya,hata ikitokea utakuwa mtu wa maombi ,mtu wa kuwa karibu na Mungu.Hata ukifa siku ya ufufuo utakuwa mwema.
Alikua na umri gani huyu MTU wa totoz?
 
Anajistukia maana nae kachangia[emoji26][emoji26]

Kutwa kumchamba baba wa watu vitu vyenyewe sensitive sasa kama familia

Tena kama hii ya juzi ameumia sana asee
hiko kitendo cha juzi xWife wake kuvujisha charting yake baina ya Lemutuz na Watoto kwa Mange. niliona le mutuz akitumia nguvu kubwa kujitetea kwa kusema xwife ndio kampa Mange hiyo charting. hii pia imechangia kufariki kwa huyu Lemutuz. sisi huku jf ni Mashahidi Mobimba hakupenda kushindwa jambo. kama mtakumbuka ugonjwa wa moyo hauhitaji distables kama zile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom