dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Hpn mkuu niliwaza tu kuhusu msiba wapi utakuepo hoteli au kwa baba ake mnk Mara nyingi Yuko hoteliniAcha uchokozi
Halafu kwanin wanaagwa kesho alfu jnne atazikwaa jamn duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hpn mkuu niliwaza tu kuhusu msiba wapi utakuepo hoteli au kwa baba ake mnk Mara nyingi Yuko hoteliniAcha uchokozi
Mabaharia watu?!Mi nilishakutana nae sana enzi za ujana....he was full of life...to be honest story yake ya watoto nimeijiua miaka ya hiv karibuni....sijui Kwa nini aliamua kuwapa mgongo....anyways...R.I.P
Hapo umemsahau Irene alikuwa Dr(Dr Irene) aliamua kujiua.Inanisikisha sana.Halafu kuna binti yake yule Mwendwa yule jaji. Ana kiharusi yaani siku hizi anasukumwa kwenye wheel chair. Mzee Malecela kusema ukweli kafiwa sana hapo pia alifiwa na Mkewe wa kwanza.Mzee anapitia magumu sana badala ye ndo azikwe na wanae yeye ndo anawazika wanae mbaya zaidi hilo pengo haliwezi zibwa tena!
Alianza Senyagwa,akaja Ipyana,Dr Mwere,na sasa Lemutus
So sadHapo umemsahau Cathy alikuwa Dr aliamua kujiua.Inanisikisha sana.Halafu kuna binti yake yule Mwendwa yule jaji. Ana kiharusi yaani siku hizi anasukumwa kwenye wheel chair. Mzee Malecela kusema ukweli kafiwa sana hapo pia alifiwa na Mkewe wa kwanza.
hivi amebakiwa na watoto wangapi?Hapo umemsahau Cathy alikuwa Dr aliamua kujiua.Inanisikisha sana.Halafu kuna binti yake yule Mwendwa yule jaji. Ana kiharusi yaani siku hizi anasukumwa kwenye wheel chair. Mzee Malecela kusema ukweli kafiwa sana hapo pia alifiwa na Mkewe wa kwanza.
Yule Seche yule Dr kule US,Kuna Mwendwa yule jaji aliejiuzulu , kuna Nyagwa ,kuna Tully huyu ni wa kuadopt na Samweli..Wamebaki wanne.wa damu na huyo wa tano ni wa kuadopt.Hivyo kabakiwa na watoto 5hivi amebakiwa na watoto wangapi?
AhahahhaAlikua anafanya mchongo gan hapa bongo
Uvumilivu upi ss wengine hatuujui embu tupe kwa kifupi Sanajamaa alikuwa na uvumilivu sana May he RIP!
Kajenga Kinyerezi akiwa bado anaishi US.nyumba alikuwa nayo, ila kuna watu humu wanamsema vibaya wakati hawajui hata bei ya cement. au bei ya tofali. aliishi maisha ya middle class.
Dah kweli hii jf[emoji38][emoji38][emoji38]Mi nimemuona pale Ben tower ijumaa yaan juzi[emoji26]
Kama kawaida yake na wabebez akaniita nikamsonya akacheka sana, ...masikini ningeenda hata kumsikiliza utani wake then nicheke nisepe! Imeniuma sana
Mzee anapitia magumu sana badala ye ndo azikwe na wanae yeye ndo anawazika wanae mbaya zaidi hilo pengo haliwezi zibwa tena!
Alianza Senyagwa,akaja Ipyana,Dr Mwere,na sasa Lemutus
Kumbe Bado Ana watoto sikujuwaa nilijuwa lemutuz ndio kitinda mimbaYule Seche yule Dr kule US,Kuna Mwendwa yule jaji aliejiuzulu , kuna Nyagwa ,kuna Tully huyu ni wa kuadopt na Samweli..Wamebaki wanne.wa damu na huyo wa tano ni wa kuadopt.Hivyo kabakiwa na watoto 5
Binafsi namfahamu nyagwa sijui wengine waliobakihivi amebakiwa na watoto wangapi?
kama vikija ni kwa siri siri na kuondokaSijui vitakuja kuzika
Le Mutuz ndo wa kwanza.Ila ni wa ujanani.Kwenye ndoa wa kwanza ni Dr Mwele.Kumbe Bado Ana watoto sikujuwaa nilijuwa lemutuz ndio kitinda mimba