TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

le mutuz lazima ameacha mali. nyumba kinyerezi sijui na vingine alikuwa anatamba navyo. sasa tunasubiri watoto wale waliomtukana baba yao na mama mwenye roho ya sumu aje kurithi. bahati mbaya nadhani le mutuz hakuna na wadogo zake ni kam alizaliwa peke yake, ila kama angekuwa na ndugu wengine, alitakuwa kuandika wosia mali zake ziende kwa ndugu zake. angetakiwa kuwaacha kabisa wale watoto wenye matusi waendelee kuishi kimama mama na mama yao.

Sasa wewe unahisi hao watoto wanataka huo urithi?
 
Sasa we naye ikawaje baba yako akachelewa kukuzaa?
Mwisho wa kuzaa ni 35
Pride ya mtu mwenye fikra za kimaskini,ni kuwa na watoto at early ages,Jay Z sijui ana umri gani na mtot9 wake wa mwisho kumzaa ana umri gani?
Just imagine,kwa pesa ya Membe au Pinda,ingekua huku uswahili kwenye kula tunda kimasihara,sijui wangekua na watoto wangapi,ajabu wanna watoto wachache sana.
 
Pride ya mtu mwenye fikra za kimaskini,ni kuwa na watoto at early ages,Jay Z sijui ana umri gani na mtot9 wake wa mwisho kumzaa ana umri gani?
Just imagine,kwa pesa ya Membe au Pinda,ingekua huku uswahili kwenye kula tunda kimasihara,sijui wangekua na watoto wangapi,ajabu wanna watoto wachache sana.
Hata haziendani
 
Roho inamuuma sana Dada wa Taifa....Le Mutuz ameondoka huku akiwa na Beef naye ,hawaja squash the beef yao! Kuna PCK na Mbutananga naona wamefurahi..
mange amepoteza mtu muhimu sana wa kumuongelea na kumtukana, alikuwa anamwongezea habari na followers. amenuna hadi hajapost kifo chake. ila mange, kule ndani ya moyo wake, ana roho chafu ya shetani kabisa, ana roho ngumu kuliko sumu. no wonder anashabikia hata ushoga.
 
mange amepoteza mtu muhimu sana wa kumuongelea na kumtukana, alikuwa anamwongezea habari na followers. amenuna hadi hajapost kifo chake. ila mange, kule ndani ya moyo wake, ana roho chafu ya shetani kabisa, ana roho ngumu kuliko sumu. no wonder anashabikia hata ushoga.

Yes Kifo cha Le Mutuz kimemgusa sana Mange yaani amepigwa na baridi ,ukiacha mabeef yao ila wana undugu japo kwa mbali.
 
Anajistukia maana nae kachangia[emoji26][emoji26]

Kutwa kumchamba baba wa watu vitu vyenyewe sensitive sasa kama familia

Tena kama hii ya juzi ameumia sana asee

Hajaandika kwa sababu anajua sasa hivi watu wana mihemko. Ila nina amini leo huko alipo anatoa yote.

Hawa watu wamedhalilishana wote. Lemutuz anasema baba yake mange alifanyiwa mchezo wa sodoma ndio maana alijinyonga. Hii pia inauma eti
 
Back
Top Bottom