Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi huu nimeusoma kwa umakini nimefurahi kuona comments za watu waliojiunga jf wakati inaanza wakati huo sisi tuko secondly hatujui yanayoendelea duniani. Shikamoo.Sisi kwetu Tanga twasema "Mtumba Tikubada" yaani mjomba kaenda.
Ilikuwa ni mwaka 2005 nikiwa States kwenye jitihada zangu za kusaka vyeti, nikakutana na Field Marshal aka Le Mutuz real name William Malecela.
Nilikuwa namuita uncle kwani alikuwa ni mkubwa kidogo kwangu ila ukija kwenye kukaa na kujadili politics na mikakati ya maisha, kwa kweli Le Mutuz alikuwa nguli.
Katika watoto wa wakubwa ambao nimekutana nao iwe ndani au nje ya nchi Le Mutuz huwezi fahamu kuwa ni mtoto wa mkubwa yaani mzee John Malecela alikuwa ni mmoja wa viongozi ambao wana vijana walo "humble" sana si wa kujikweza.
Wapo watoto wengi wa wakubwa wa siku hizi ambao hujidai na kutukana watu na kufanya ujinga mwingi lakini huyu Le Mutuz aliheshimu watu na ukiwa na hoja basi mtabishana kwa hoja.
Ndie alienieleza kuhusu JF enzi hizo imetoka kuanzishwa ikiitwa Jambo Forums na baadae nilipokuwa Zurich kikazi mwaka 2006 nikajiunga rasmi hadi leo.
Tukiwa JF, tuwe na staha na kuheshimu michango ya wengine na kuheshimu watu khasa wale usowafahamu maana hatufahamu ya kesho.
Binadamu tuhangaike kwa namna yoyote ile hapa duniani bado yabaki kuwa Dunia ni mapito na sote tutailamba vumbi iwe kwa hiari au kwa mshinikizo lakini Mungu hutupokea.
RIP Le Mutuz aka Field Marshal, baharia, real Name William Malecela mzee wa "You Know I know".
YaaniRIP le mubebez. Mzee malechela anazika tu watoto masikini 😭😭😭
Ndiwooo mlongo.Mlongo tuingie chemba court kidogo...kwani marekani bado usiku?
So asingepaswa kufa kwsbb ameshatukanwa sio? [emoji23]si juzi tuh alitukanwa na mwanae
HEEEeeeHeeEEeeh!Duh,Apumnzike kwa amani. Huyu alikuwa anakula good time na Wabebez. Ila maisha yanazidi kunifundisha kuwa Humble.
Cha muhimu ni kutengeneza kwakweli maana mhhh,Hali ni teteDeath Is the Destination we all share
Death is Certain
Kifo ni hakika, sote tutakipitia endapo Bwana atachelewa Rudi
umesahau mkuu akianza kujibu thread huku Jf alikuwa akianza naDaaah Mzee wa sauti ya umeme ,This case is closed you know! Boma Liwanza.
Kwa Hakika, na umesema vizuri ikiwa Bwana Yesu Kristo atakuwa bado hajarudi (Lazima atarudi kama alivyoahidi)Death Is the Destination we all share
Death is Certain
Kifo ni hakika, sote tutakipitia endapo Bwana atachelewa Rudi
Taasisi huanzishwa na waasisi.Uzi huu nimeusoma kwa umakini nimefurahi kuona comments za watu waliojiunga jf wakati inaanza wakati huo sisi tuko secondly hatujui yanayoendelea duniani. Shikamoo.
maana kila nikipita kwa Dada wa taifa sioni updatesNdiwooo mlongo.
Ilikuwa inahusu nini mkuu?Rest in Peace Lemutuz! Japo nilitamani umalizie ile stori yako ya Amanda na JB Mpiana,poleni sana familia ya malecela
Mi nimemuona pale Ben tower ijumaa yaan juzi[emoji26]Duuuh Aiseee Jana tu alipost ofisi yake ya TANCOT House Down town Posta!
Poleni Ndugu ,Jamaa na Marafiki.
Anajistukia maana nae kachangia[emoji26][emoji26]maana kila nikipita kwa Dada wa taifa sioni updates
Yaani atakuwa na majuto sanaAnajistukia maana nae kachangia[emoji26][emoji26]
Kutwa kumchamba baba wa watu vitu vyenyewe sensitive sasa kama familia
Tena kama hii ya juzi ameumia sana asee