TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

Kwa Hakika, na umesema vizuri ikiwa Bwana Yesu Kristo atakuwa bado hajarudi (Lazima atarudi kama alivyoahidi)

Akirudi mapema parapanda itakapolia na kukuta watakatifu walio Hai, basi hawatapitia mauti.
Yeah ndivyo maandiko yanavyosema
 
Mi nimemuona pale Ben tower ijumaa yaan juzi[emoji26]

Kama kawaida yake na wabebez akaniita nikamsonya akacheka sana, ...masikini ningeenda hata kumsikiliza utani wake then nicheke nisepe! Imeniuma sana
Ungependa akushike mubebez
 
Utasikia "Mungu wangu si jana tu tumetoka kula naye hapa ugali"

Sasa kula ugali na kifo hapo katikati kuna chemistry gani inayofanya ionekane ajabu kwa mtu mliyekula naye ugali kupatwa na mauti?

Yani kwa bongo ni kama taarifa ya mtu kufa kwako itakuwa normal as long as marehemu hakuhusika kwenye tukio lolote recently pamoja na wewe
Nimekusoma mkuu, na mlengo wako wa fikra!
Hakika, binaadam kwa ujumla wetu, fikra zetu hazina kikomo.

Kama huyu 'Hyperkid' alivyoshangaa: "si juzi tu katukanwa na mwanae?"; kana kwamba hiyo ingekuwa sababu ya yeye kutokufa leo!
 
Anajistukia maana nae kachangia[emoji26][emoji26]

Kutwa kumchamba baba wa watu vitu vyenyewe sensitive sasa kama familia

Tena kama hii ya juzi ameumia sana asee

Bora atulie asipost chochote kuhusu Super Brand Le Mutuz Mobimba Kokobanga Boma Ye Nye nye nye! Boma Liwanza....American Spirit ,hes humbled you know ,downtown at 5 star Hotel with SUper Mtindiz Le Mbebez...This case is closed you know.
 
Mi nimemuona pale Ben tower ijumaa yaan juzi[emoji26]

Kama kawaida yake na wabebez akaniita nikamsonya akacheka sana, ...masikini ningeenda hata kumsikiliza utani wake then nicheke nisepe! Imeniuma sana
Dah masikini ungejua ungempa hata mbususu.
 
Mi nimemuona pale Ben tower ijumaa yaan juzi[emoji26]

Kama kawaida yake na wabebez akaniita nikamsonya akacheka sana, ...masikini ningeenda hata kumsikiliza utani wake then nicheke nisepe! Imeniuma sana


Dooh inasikitisha sana!! inna lillahi wa inna ilayhi raji'un.
 
Back
Top Bottom