TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

..hiyo zaidi ilikuwa ni kipindi cha nyuma lakini siku za karibuni hapa alianza kutukana sana wanaomkejeli hasa akiweka post kwenye page yake insta...
Chawa hao..waendesha akaunti zake ,yeye akiwa bize.You know!??Chawa njaa Kali..."....Uchaguzi ukiwa huru na haki CCM inakabidhi Ikulu".By.Humphurey Pole Pole....Muulize Leo.Zaidi You Tube kule,ukajiridhishe.
 
Kumbe mabeberu ndo wanakupa ugali afu unawakandia na kumpenda Mrusi
Ni suala na itikadi na mrengo mtu hufuata na hizi ni siasa za dunia.

Ugali mtu hupata popote hivyo waweza kuchukua yale yalo chanya na kuacha mabaya yao ambayo ni mengi kuliko mazuri yao.

Ukipata nafasi tembelea Moscow mkuu ujionee maajabu ya warusi.
 
Ni suala na itikadi na mrengo mtu hufuata na hizi ni siasa za dunia.

Ugali mtu hupata popote hivyo waweza kuchukua yale yalo chanya na kuacha mabaya yao ambayo ni mengi kuliko mazuri yao.

Ukipata nafasi tembelea Moscow mkuu ujionee maajabu ya warusi.
Yaani mabeberu yanakushibisha afu unawatukana?

Mzee hebu kuwa ma shukrani
 
JF tumefiwa, ni moja ya watu waliotuvutia wengi humu enzi hizo. Alivyorudi Bongo aliishi maisha tofauti lakini kwa ambao tunakumbuka mijadala yake tunajua uwezo wake kwenye hoja.

Rest in peace brother [emoji120]
hakika mkuu ni msiba mkubwa kwa JF nadhani Max melo na Mushi pamoja na Buchanan watatuwakilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuzuii kuja JF lakini mimi ni mtu ambe nipo "busy" mno na mihangaiko yangu hivyo nikipata nafasi ntakupa za hapa na pale.

Kazi ya UN huwa wazitangaza kwenye website yao na watakiwa kuwa wazifuatilia.

Kwa sasa sifanyi kazi huko ila ntakupa dondoo za hapa na pale.

Lakini mimi nilianza kufanya kazi UNHCR baada ya masomo nikapangwa Kigoma enzi hizo.

Hivyo kama wapiga kazi mwajiri wako aweza kuanza kukuhamisha na mara nyingi kituo kinofuata ni Nairobi.

Baada ya hapo weye wenyewe huanza kuangalia kazi zitokazo ambazo twaziita "internal" kwa wale waajiriwa na baadae huzitoa kwa public.

Hivyo anza na UNHCR ya Tanzania, Arusha kuna ile mahakama ya kimataifa na Nairobi pia pana ofisi za mashir

Pia pale barabara ya Sokoine karibu na stesheni ya reli pana ofisi za UN karibu na ofisi za mazee.

Hivyo ukiwa JF pia pitia hizo website zao.

Na si lazima upate kazi ya juu waweza kuanza kama dereva ambae hulipwa "foreign currency" khasa dola.
Asante sana Mkuu
 
Larger than life public persona. Lakini in private he seemed to have been suffering in silence haswa baada ya wanaye kukataa kumsamehe na kurejesha mahusianai naye kwa asilimia 100 na matusi juu.
 
R.I.P lemutuz,kweli maisha ni fumbo kubwa sana,boma ye boma liwanza,umeniuma sana.Rest easy.
 
le mutuz lazima ameacha mali. nyumba kinyerezi sijui na vingine alikuwa anatamba navyo. sasa tunasubiri watoto wale waliomtukana baba yao na mama mwenye roho ya sumu aje kurithi. bahati mbaya nadhani le mutuz hakuna na wadogo zake ni kam alizaliwa peke yake, ila kama angekuwa na ndugu wengine, alitakuwa kuandika wosia mali zake ziende kwa ndugu zake. angetakiwa kuwaacha kabisa wale watoto wenye matusi waendelee kuishi kimama mama na mama yao.
So sad
 
Mara ya mwisho kusikitika sana kwa msiba wa mtu maarufu ilikuwa ni msiba wa Seth Bikira wa Kisukuma na leo kwa mara nyingine nina huzuni mno. Lemutuz alikuwa na utu pamoja na ishu zake zingine zilizokuwa kama zinaleta ukakasi. Huyu ni mtu aliyetaka vijana wafanikiwe kimaisha... alikuwa na upendo mkubwa kwa vijana. Mwaka 2014 alituandalia semina ya ujasiriamali ambayo ilikuwa na wazungumzaji wengi heavyweights akiwemo Ruge Mutahaba, Ridhiwani, Davis Mosha, DC Zainab na wengine. Hata machapisho yake mitandaoni zilikuwa zina mafunzo mengi kwa vijana. Alikuwa akisisitiza sana vijana wajasiriamali kuhakikisha tunaaminika na wadau wote hasa taasisi za fedha. Huu ushauri wake nimekuwa nikiuzingatia sana.

MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA. NIMESIKITIKA SANA LEO.
si kwako tu kuondoka kwa lemutuz ni pigo kwa watu ambao walikuwa wakimfuatilia mitandaoni. mimi nilikuwa naongea nae kupitia cm yake ya mkononi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mabeberu yanakushibisha afu unawatukana?

Mzee hebu kuwa ma shukrani
Mabeberu hayanishibishi chochote na wala siwatukani ila nakosoa sera zao za "hegemony" na ukabaila.

Shukrani pekee kutoka kwangu ni kupata mabinti wazuri sana wa kibeberu ambao wanaheshima sana kwangu na wamenifyatulia matunda khasa.

Kisha wamekubali kwamba mimi ni lazima niwe na binti wa kitanga, ambae ilibidi nitafute mwenye rangi nzuri ili matunda yalingane rangi.
 
No Way, Aisee.

Daaaah

Huyu Jamaa Nlikua Namuelewa Sanaa [ Hasa Madini Yake Ya Kimaisha Na Street Intelligence ] Japo Wengine Wachache Walikua Hawamuelewi + Deep Down Alikua Ana Utu Sanaaa.

Rest in Paradise The King Of All Bongo Social Media Network With Over 30 Years Experience At Downtown New York Mbelezzz.

What An Entertainer, Nimeumia Sana Daaah.

Hakika Maisha Ya Duniani Ni Safari Fupi Sana.

Bwana Mungu Akawe Muongozo Sahihi Kwa Watoto Wake Na Familia Kwa Ujumla. Amen [emoji1488]
Dah!

Umemlilia kweli.
Hakika atakuwa aligusa maisha yako kwa namna ya kipekee.

Nampa pole Mzee Malicela kwa kuondokewa na watoto namna hii.
 
Kama umesoma ile Historia ya maisha
yake utagundua hata hao ndugu zake nao hawafai hata kidogo alikuwa ktk vita nao.
Mobimba amepitia mengi magumu kuanzia kuzaliwa kwake alikuwa kwenye vita kali sana na ndugu zake alifanyiwa mengi maovu ikiwemo kutengwa na ndugu na kukataa kumtambua! hii kitu ilimtesa sana Mobimba...hata alivyokuja kumuoa Neema Ngululupi hiyo ndoa nayo ikaingia timbwili ikapelekea Watoto kumkimbia.

Mobimba aliteseka sana mambo yote haya alikuwa akiya share Mitandaon na kwa marafiki zake. hakukubali kuweka kitu rohoni pengine style hii ya kutokuweka kitu rohoni ndio ilimfanya akaishi humu duniani kwa kipindi chote.

hakuna kitu kinachiuma kama kubaguliwa na wanafamilia.


ntamkumbuka kwa ujasiri wake wa kuchagua kuishi maisha kupigana na stress.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom