Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Maskini mkulungwa mwenzangu.
Mola amrehemu.
Mola amrehemu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugali ni mgumu na waafrica tunakula sana so ndio mana tunasikitika hivo "si jana tu tumetoka kula naye ugali"😁Utasikia "Mungu wangu si jana tu tumetoka kula naye hapa ugali"
Sasa kula ugali na kifo hapo katikati kuna chemistry gani inayofanya ionekane ajabu kwa mtu mliyekula naye ugali kupatwa na mauti?
Yani kwa bongo ni kama taarifa ya mtu kufa kwako itakuwa normal as long as marehemu hakuhusika kwenye tukio lolote recently pamoja na wewe
Mambo ya ajabu sana.Sasa hiyo ndio inazuia mtu asife?
Reaction za wabongo kwenye misiba zinawezafanya mtu uangue kicheko uonekane umefurahia marehemu kufa
Nimejiuliza sana! Shida imetokea kwenye ile post ya kutukanwa na mwanae au itakua ni nini haswa 🥶🥶🥶
Sijui kwanini watu wanatumia hilo neno dhibitisha badala ya thibitisha. Kiswahili kinasumbua wadanganyika.Kila nafsi itaonya umauti !!
kila mtu ataishi kwa mda wake ni jambo la kuomba mwisho mwema.
View attachment 2621189
RIP BOMA YEEE..Tusubiri kuona
Rest in peace in advance BOMA LIWANZA
Kwani huyo kamwele Ni naniPatrick Kamwele atahudhuria msiba? Ngoja tuone
Kwa kuwa tupo msibani acha tu nitulie, ila nahisi umeleta umbea tu.nimesahau, ila hizo habari ziko tafuta utazipata uko mtandaoni
Poleni sanaNimekutana na hii post, is it true? Plz Moderator Confirm!View attachment 2621120
====
View attachment 2621167
Mmiliki wa 'Le Mutuz' Blog, William Malecela, maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam
Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Msanii Steve Nyerere.
Taarifa zaidi zitakujia hivi punde.
Kabisa mkuuShughuli imerudi