TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

No Way, Aisee.

Daaaah

Huyu Jamaa Nlikua Namuelewa Sanaa [ Hasa Madini Yake Ya Kimaisha Na Street Intelligence ] Japo Wengine Wachache Walikua Hawamuelewi + Deep Down Alikua Ana Utu Sanaaa.

Rest in Paradise The King Of All Bongo Social Media Network With Over 30 Years In Experience At Downtown New York Mbelezzz.

What An Entertainer, Nimeumia Sana Daaah.

Hakika Maisha Ya Duniani Ni Safari Fupi Sana.

Bwana Mungu Akawe Muongozo Sahihi Kwa Watoto Wake Na Familia Kwa Ujumla. Amen [emoji1488]
He was an entertainer. He was a pimp. Rest In Peace kaka.

Sisi watu wa uswekeni tutakumiss sana. You were making some sad days enjoyable for your cracks, about us living out of your space in the middle of town
 
View attachment 2621191

Third wave ya corona imerudi ndio maana Mama Membe wanemzungushia uzio kumlinda na maambukizi.

Membe kachomoka na Corona,na hata Lemutuz ni corona

Atakosa content siku zijazo.Atahuzunika kiukweli. Sema watoto wake sijui watakuja kumzika. Too sad. Halafu itakuwa tatizo la kupumua limemuondoa. Jamani wale wenye afya mgogoro inabidi waache kujichanganya.Corona ipo.
Kifo hakina afya mgogoro. Unachukuliwa mzima nzima kikikutaka...wangapi wwnye afya mgogoro wanadunda wale tuliosema wako fit washatangulia kitambo....
 
Back
Top Bottom