Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
60 +.Alikua na umri gani huyu MTU wa totoz?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
60 +.Alikua na umri gani huyu MTU wa totoz?
nyie Mnasema mange amepigwa ubaridi kufuatia kifo cha Lemutuz Mobimba? kamsomeni ameshaamka amwaga mharo kama kawaida yakw huyu mkosa adabuni kweli, shetani anamtumia apendavyo, sio yeye. hakuna mtu unaweza kuwa na roho ngumu namna ile, sio kitu cha kawaida.
Are you sure?The difference is where you go after dying. Humble people go to heaven while arrogant pigs end up in hell.
Kwema kwema vp kule kwingine mizigo umeshaipandisha ya kutosha nataka niipitie moja baada ya nyingine 😄raraa reree kwema👋
Ubaya kila mtu hutenda sema tu tunazidiana viwango.Hapa nimesema in relation na Imani,kwamba baada ya kifo ni hukumu. Ukiwa humble huwezi tendea wengine mabaya,hata ikitokea utakuwa mtu wa maombi ,mtu wa kuwa karibu na Mungu.Hata ukifa siku ya ufufuo utakuwa mwema.
Hio heaven na hell yenyewe ameshawahi kukanyaga mkuu au ndio maelekezo ya kiimani Ila hata kupaona hajapaona, hayo mengine jaman tuwaachie Wafu unaweza ukatoka huku na mawazo yako ya ajabu unafika kule unashangaa mboni nilikua naambiwa kuna ziwa la Moto ?Are you sure?
Can you prove that Humble people go to heaven after death and arrogant people end up in hell?
If you can't prove, Then what you say is imagination just an illusion.
Soon 🙃Kwema kwema vp kule kwingine mizigo umeshaipandisha ya kutosha nataka niipitie moja baada ya nyingine 😄
Sio kwa matusi yalehiko kitendo cha juzi xWife wake kuvujisha charting yake baina ya Lemutuz na Watoto kwa Mange. niliona le mutuz akitumia nguvu kubwa kujitetea kwa kusema xwife ndio kampa Mange hiyo charting. hii pia imechangia kufariki kwa huyu Lemutuz. sisi huku jf ni Mashahidi Mobimba hakupenda kushindwa jambo. kama mtakumbuka ugonjwa wa moyo hauhitaji distables kama zile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wana "Fear of Unknown" imagination just an illusion.Hio heaven na hell yenyewe ameshawahi kukanyaga mkuu au ndio maelekezo ya kiimani Ila hata kupaona hajapaona, hayo mengine jaman tuwaachie Wafu unaweza ukatoka huku na mawazo yako ya ajabu unafika kule unashangaa mboni nilikua naambiwa kuna ziwa la Moto ?
Dogo analia mpaka anashindwa kupenga kamasi mda huu anapiga kwikwi mfululizo, akikumbuka utoto zile memory nzuri wako pamoja uchozi haikati km bomba la mvua dweeeeSio kwa matusi yale
Millard Ayo kapost so sio uvumi yule mwamba huwa hazinguiKuna Uvumi mitandaoni kwamba William Malecela hatuko naye , hatuna pa kuthibitisha maana hakuna taarifa kamili , sasa huyu jamaa ni member mwenzetu hapa JF , tunaomba yeyote anayeweza kuthibitisha hili au kukanusha atusaidie.
Naomba kuwasilisha .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ndio nini hicho umetaja hapo.Cardiosis, cardiology issues ni hatari life span yake ni rehema zake Mungu tu
The onus of proving me wrong is on your side.Are you sure?
Can you prove that Humble people go to heaven after death and arrogant people end up in hell?
If you can't prove, Then what you say is imagination just an illusion.
Ndio hivyo mkuu kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha walio hai na walio kufa Ila wote tupo sehemu moja kwenye different dimensions, wewe humuoni Ila yeye anajiona na anakuona ndio tunavyoamini na tulivyoaminishwaWatu wana "Fear of Unknown" imagination just an illusion.
Hofu isiyo kuwepo, mawazo ya kufikirika na dhana za kusadikika, Ndoto za kufikirika..
Umeagiza bia msibani km kinywaji au km kiburudisho unasherehekea nini ?Jamani tupo msibani subirini tuzike [emoji23]
Aliyetumwa bia nae hajarudi sasa tunaombolezaje uku!!!
Nimeuliza ili nijue na si kwa ubaya hujaoona alama ya kuuliza??
Usije hapa na makasiriko ya kushiba kande na kujambajamba sawa?
Pumbavu mkubwa wewe