Sio vizuri kumuhukumu mgonjwa.mgonjwa jeuri sana huyu. kule instagram kwenye page yake kila mara anajibishana vibaya na watu. anyway augue pole.
Ndiyo Ukweli WenyeweYaani watu wengine, unaumwa unapata wapi hata muda wa kuomba upigwe picha, ili iweje? Ukipost mtandaoni zile comments za pole ndiyo zinaponesha? Ujinga mtupu.......
Bila hivyo ungejua anaumwa?na bila picha hivyo unataka pichaYaani watu wengine, unaumwa unapata wapi hata muda wa kuomba upigwe picha, ili iweje? Ukipost mtandaoni zile comments za pole ndiyo zinaponesha? Ujinga mtupu.......
Tena atakuwa na matatizo makubwa sanaKweli anaumwa cheki alivyokonda. Ugua pole le mutuz