Le mutuz mzazi wake mmoja tu ndio yupo haiKuumwa kwa wazee ni jambo la kawaida! Sema watu wana bahati! Yaani hadi unagonga 60's bado wazazi wako wapo hai! Yaani kama Prince Charles, ambae mtoto na wazazi wote vikongwe!
Anyway, ugua pole Mzee William John Malecela!!!
Mungu amsaidie mdau mwenzetuW. J. Malecela Huyu ni mwanaJF mwenzetu muda kidogo hajaonekana huku yuko matatizoni kwa kuumwa tumkumbuke kwenye maombi.
Kwa mujibu wa maelezo yake huko Instragram hapo pichani akiwa ametoka ICU na kesho atarudishwa wodini kwa upasuaji.(hajasema ni upasuaji wa nini.
Pole sana Mungu akutangulie.
View attachment 1726599
Mama yake si kafariki miaka michache tu iliyopita wakati Le Mutuz tayari keshazeeka!Le mutuz mzazi wake mmoja tu ndio yupo hai
Ugua pole
WJ Malecela mzee wa NYC.
Field Marshal
Sauti ya Umeme.
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji350]kafunga na safety belt ndio akapostW. J. Malecela Huyu ni mwanaJF mwenzetu muda kidogo hajaonekana huku yuko matatizoni kwa kuumwa tumkumbuke kwenye maombi.
Kwa mujibu wa maelezo yake huko Instragram hapo pichani akiwa ametoka ICU na kesho atarudishwa wodini kwa upasuaji.(hajasema ni upasuaji wa nini.
Pole sana Mungu akutangulie.
View attachment 1726599
Hali yake sio nzuri[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji350]kafunga na safety belt ndio akapostView attachment 1734069
hivi sini mtoto wa John malecela na mke wa malecela ni Anne kilango na dada ni dr Mwele MalecelaLe mutuz mzazi wake mmoja tu ndio yupo hai
Mzee malecela ni dingi yake ila mazeri wake alidedi, it seems bi mkubwa wa le mbebez alikuwa mchepuko, pia huyu anne kilango ameolewa juzi kati na mzeehivi sini mtoto wa John malecela na mke wa malecela ni Anne kilango na dada ni dr Mwele Malecela
[emoji220][emoji220]chawa wengiPole sana ila mbona sio mzalendo ameenda kutibiwa India maana page yake alikua akipost picha za hospitali na kuimwagia sifa awamu ya tano kwa maendeleo ya kishindo?
Vp MLAGI aka musiba naye