William Malecela (Le Mutuz) anaumwa, tumuombee

William Malecela (Le Mutuz) anaumwa, tumuombee

Yaani watu wengine, unaumwa unapata wapi hata muda wa kuomba upigwe picha, ili iweje? Ukipost mtandaoni zile comments za pole ndiyo zinaponesha? Ujinga mtupu.......
Kinachokufurahisha wewe kinaweza kuwa maudhi kwa wengine..na kinyume chake.

Usilazimishe hisia zako ziwe ndio utaratibu wa maisha
 
W. J. Malecela Huyu ni mwanaJF mwenzetu muda kidogo hajaonekana huku yuko matatizoni kwa kuumwa tumkumbuke kwenye maombi.

Kwa mujibu wa maelezo yake huko Instragram hapo pichani akiwa ametoka ICU na kesho atarudishwa wodini kwa upasuaji.(hajasema ni upasuaji wa nini.

Pole sana Mungu akutangulie.

View attachment 1726599
Mzee kakongoroka mbaya
 
Atajua mwenywe na mungu wake afe au aishi yote faida na hasara ni kwa familia yake
 
Duh augue pole Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema amponye maana wamtumainio Bwana wanalo tumaini.
 
Huyo si nae ni chawa amfuate mtukufu wake basi
 
Isije ikawa tezi..... pole kamanda, uzee una mambo yake !! njia yetu i moja.
 
Back
Top Bottom