SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Grid?duh, kama kitu cha 'rea' vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Grid?duh, kama kitu cha 'rea' vile
Huyu huyu wa Sepenga?Manunu
Hunizidi mimi.Sinaga huruma na maccm
W. J. Malecela Huyu ni mwanaJF mwenzetu muda kidogo hajaonekana huku yuko matatizoni kwa kuumwa tumkumbuke kwenye maombi.
Kwa mujibu wa maelezo yake huko Instragram hapo pichani akiwa ametoka ICU na kesho atarudishwa wodini kwa upasuaji.(hajasema ni upasuaji wa nini.
Pole sana Mungu akutangulie.
View attachment 1726599
AmenMaombi kwa watakao takiwa
Beach kidimbwi
Walaji wa shishi food
Viwanja vyote maarufu
Watakuombea sana utapona
Kwa iman na niaba yake amenHuyu si ana jopo la masangoma,wamponye sasa
Umemaanisha kweli au umeamua kuchekesha kadamnasi?Pokea uponyaji katika jina la Yesu!
Namtamkia William Malecela Uponyaji katika Jina la Yesu aliye hai amen!Umemaanisha kweli au umeamua kuchekesha kadamnasi?