Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najaribu kukuamsha mkuu,ila kama ni sikio la kufa huta-amka.Fuata link ifuatayo uone kwamba hata wale Marekani wanaopata ugali wao Marekani wanakubali kwamba dollar sasa ipo mashakani.Kama CNN na Fox news nao wameliongelea swala hilo, ujue hali ni mbaya.Lazima watakuwa wameambiwa na mabosi wao kwamba waanze kusema ukweli.Hata wewe ni zombie la east mkuu.
Vyombo vya habari CNN na Fox News ni independence news media sio za serikali, ni huru sana sio kama TBC au KBCNajaribu kukuamsha mkuu,ila kama ni sikio la kufa huta-amka.Fuata link ifuatayo uone kwamba hata wale Marekani wanazopata ugali wao Marekani wakakubali kwamba dollar sasa ipo mashakani.Kama CNN na Fox news nao wameliongelea swala hilo, ujue hali ni mbaya.Lazima watakuwa wameambiwa na mabosi wao kwamba waanze kusema ukweli.
Both CNN and FOX News do stories about "De-Dollarization."
Both CNN and FOX News Do Stories about "De-Dollarization." If MSM is covering this, it's because Fedgovernor knows what's coming. 27 MARCH 2023 For literally decades, people scoffed at the so called "conspiracy theorists" talking about the US Dollar collapsing. They laughed at "the tin foil...www.jamiiforums.com
Alikuambia nani mkuu,CNN na Fox News ni mouthpieces za serikali na ni mali ya the NWO Cabal.Ziwe independent,wapi,Marekani!You are joking.Vyombo vya habari CNN na Fox News ni independence news media sio za serikali, ni huru sana sio kama TBC au KBC
Really?May be you need to listen to this👇,you are burrying your head in the sand.The dollar’s dominance is unlikely to change in the near future, and it will remain the principal currency of international trade and transactions, No other currency is close to replacing it. But its stranglehold on the global financial system could weaken if more countries start trading in other currencies and reduce their exposure to the dollar.
Wewe ni mfuasi wa east na una chuki binafsi na serikali ya marekani kisa they dominate.Ulitaka wavaa kanzu ndio wadominateNajaribu kukuamsha mkuu,ila kama ni sikio la kufa huta-amka.Fuata link ifuatayo uone kwamba hata wale Marekani wanaopata ugali wao Marekani wanakubali kwamba dollar sasa ipo mashakani.Kama CNN na Fox news nao wameliongelea swala hilo, ujue hali ni mbaya.Lazima watakuwa wameambiwa na mabosi wao kwamba waanze kusema ukweli.
Both CNN and FOX News do stories about "De-Dollarization."
Both CNN and FOX News Do Stories about "De-Dollarization." If MSM is covering this, it's because Fedgovernor knows what's coming. 27 MARCH 2023 For literally decades, people scoffed at the so called "conspiracy theorists" talking about the US Dollar collapsing. They laughed at "the tin foil...www.jamiiforums.com
Hii sasa pointi mpatieReally?May be you need to listen to this👇,you are burrying your head in the sand.
Both CNN and FOX News do stories about "De-Dollarization."
Both CNN and FOX News Do Stories about "De-Dollarization." If MSM is covering this, it's because Fedgovernor knows what's coming. 27 MARCH 2023 For literally decades, people scoffed at the so called "conspiracy theorists" talking about the US Dollar collapsing. They laughed at "the tin foil...www.jamiiforums.com
Sina chuki na watu wa Marekani,nina chuki na Serikali ya Marekani kwa kuwa ni serikali ovu Sana na imesambaza uovu Dunia nzima,ukiwepo ushoga.Wewe ni mfuasi wa east na una chuki binafsi na serikali ya marekani kisa they dominate.Ulitaka wavaa kanzu ndio wadominate
Unaifahamu Mareka ni lakini?Alikuambia nani mkuu,CNN na Fox News ni mouthpieces za serikali na ni mali ya the NWO Cabal.Ziwe independent,wapi,Marekani!You are joking.
Mkuu naifahamu Marekani kuliko hata Wamarekani wenyewe.Americans are extremely ignorant,frankly ni kama Kondoo wanaopelekwa machinjoni. Wamelishwa mi-opioids Kama Fentanyl na misumu mingine sasa wamekuwa mazombie wanaamini kila ujinga wanao-ambiwa,,very sad.Unaifahamu Mareka ni lakini?
PoleMkuu naifahamu Marekani kuliko hata Wamarekani wenyewe.Americans are extremely ignorant,frankly ni kama Kondoo wanaopelekwa machinjoni. Wamelishwa mi-opioids Kama Fentanyl na misumu mingine sasa wamekuwa mazombie wanaamini kila ujinga wanao-ambiwa,,very sad.
Kwa mtindo huu👇,Dollar haiwezi ku-survive mkuu,unajidanganya,chikua hatua.Hii sasa pointi mpatie
Mtoa mada ni muongo!'Us Dollar is worhtless' Man are you serious?
The U.S dollar is officially crowned the world's most traded and reserve currency and is backed by the world's largest gold reserves followed by Euro.
Una mahaba sana na Ruto eeeh?
Mtoa mada ni muongo!
Kinachoendelea huko Kenya ni kuwa kuna uhaba mkubwa wa Us dollar, na sababu kuu ni demand kubwa ya dollar kwa petroleum importers.
Sasa serikali ya Ruto imetoa tenda Kwa kampuni moja ya Saudi Arabia ku supply mafuta Kenya kwa malipo ya baadaye under government guarantee. So, makampuni ya mafuta ya Kenya yaliyokuwa yanahitaji dollar Kwa wingi kuagizia mafuta, sasa yatanunua hayo mafuta Kwa Kenya shillings locally.
Maana yake ni kuwa demand ya dollar itapungua, so akiba ndogo waliyonayo itatosheleza Kwa sekta zingine.
![]()
Oil marketers to pay for fuel imports in Kenyan shilling as shortage looms
Local oil companies will pay for oil imported on credit through a government-to-government deal in Kenya shillings.www.businessdailyafrica.com
Sasa, rais Ruto alichosema kwenye clip ni kutahadharisha madalali (foreign currency brokers) wanaohodhi au kuficha forex ili kupata faida kubwa kuwa zitawadodea, na watapata hasara.
Mleta mada kafupisha clip halafu kajazia uzushi🙄
Kwa hiyo ni lini wanaacha kutumia??Sikiliza mkuu,upo ushahidi wa kutosha kwamba the days of the US$ are numbered kama reserve currency na medium of exchange, issue ya Rais Ruto imetolewa kama ushahidi tu.Fuatilia mada,usirukie kwa mbele.Nimetoa links tatu kwenye mada zisikilize na by the way ziko nyingi,ukweli uko wazi,tunabishana nini mkuu?
qz.com
Uhitaji wa US dollar for importations.Kinachozuia nchi zingine zisifanye hivyo ni nin?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Nirudie:100+ countries wame-dump use of the US Dollar,including China,the largest World economy(wanasema ni US,lakini that is history).Nikuulize a very simple question,which does not need even a Diploma in Finance,what does 100+ countries dumping use of the US$ in their monetary transactions imply?And what? US Dollars in short supply na Federal Reserve wanafyatua kama fliers!Huo ni udaku na a fabrication, ni habari za mtaani hizo,habari za kweli Ni hizi👇.Achana na vitaarifa vya kipuzi vya mtaani vinavyotaka kuonyesha kwamba hakuna tatizo,the American a economy and the US $ has entered a period of turmoil never seen before in the History of America,prepare for the worst scenario, if you depend on the Empire of Lies and Evil for your daily bread.Kwa hiyo ni lini wanaacha kutumia??
The rise of the US dollar black market
The demand for dollars is highest among importers. This is amid the US currency’s hiked exchange rates, and the rise of a black market for the currency. While CBK rate is currently 127.80, the black market rate is as high as 139.
The Kenya Association of Manufacturers (KAM) has stated that many manufacturers and processors are now struggling to do business due to scarcity of dollars in commercial banks which they use to source for raw materials in foreign markets.
Kenyans are crossing to Tanzania in search of US dollars
Importers blame panic purchase of dollars from banks and forex bureaus to an increased cost of doing business, and have been crossing the border to Tanzanian commercial banks to source for US dollars.
In the meantime, Kenya’s treasury has blamed manufacturers for hoarding dollars.
![]()
Why Kenya is running out of US dollars
Plummeting of the Kenyan shilling, rising inflation, and low export power are draining the country's US dollar reserves. The central bank has been using its dollar reserves to try to cushion the shilling from further nosedives, creating dollar scarcityqz.com