Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ruto hawezi kuwa Rais wa Kenya hivi hajajifunza tu jinsi hawa watu walimgeuka Raila hawa jamaa sio kabisa, kenya haitapata mtu makini kama Raila ndio mana hawa akina Ruto wanamuogopa sana sana Raila, hata hana Madaraka bado wanamuogopa sana he is an International figure no doubt....Nd'o ishakula kwake hio. Ametumiwa kumpa Uhuru huo urais na yeye mwenyewe asahau kamaUhuru atampigia debe when the time comes. Amuulize Raila nd'o atajua uhuni wa hawa watu.
Mkuu Ab-T kundi la Kenyatta lilikuwa 2 crafty tangu mwanzo, walichofanya ni kumtumia RUTTO kama tramp card ili wapate kura za Wakelejin ni hilo tu i.e A marriage of convenience sort of! Asikudanganye mtu makabila haya mawili hawapatani kabisa - binafsi niliwahi kushuhudia kwa macho yangu wakati wa utawala wa MOI, wanafunzi wa kabila la Kikuyu walikuwa hawaongei kabisa na wa Kalenjini, tulipo jaribu kuwauliza sababu wakasema Wakalenjin wanatumwa na Serikali ya MOI kuwapeleleza, tulipo wambia wanaongopa nini wakati wapo nchi ngeni na wana uhuru wa kubaki huko kama wakimbizi au kurudi makwao wakajitetea kama wanasingiziwa na wenzao, wakasema hiyo ni ngumu. Mkuu mambo niliyo shuhudia pale hayakuwa mambo ya kawaida hata kidogo, leo hii kusema RUTTO na Kenyatta wanaweza kuwa kitu kimoja ni kama ndoto za mchana, na watavurugana sana - Ruto akae akijuwa kwamba hawa watamtosa! Labda naye afanye mbinu kali za kumu-trap/ingiza mkenge mwenzake kiaina, Rutto akicheza karata zake kiufundi hilo linaweza kabisa kumu-corner Kenyatta ili wa sink wote - Rutto ajaribu kusoma mbinu ambazo Yusuf Rule alizitumia kumzidi kete Rais wa awamu ya kwanza ya Tanzania Mh.Julius Kambarage Nyerere, Kambarage hakuamini kilicho mtokea i.e hakutegemee kama Prof.Rule alikuwa mahiri sana UPSTAIRS kumgehuzia kibao Kambarage!!Nd'o jamaa anafahamu hilo leo. Sijui akirudi Kenya kama hata ataongea na Uhuru maana baadhiya hao watu anaodai walimchongea, basi Uhuru amewahifadhi na kuwapa nyadhifa za nguvukatika hii serikali yake. Now how does one reconcile that?Their union is so fake to say the least.
Mkuu Ngongo, nakwambia ni balaa tupu - mtu unajiuliza maswali mengi, inakuwaje Wafrica walikuwa wana behave themselves under colonial rule lakini walipo pata uhuru Viongozi wakawa Monsters kwa Wafrica wenzao save hao wachache uliyo taja hapo juu na uongozi wa nchi ya Botswana, hao walikuwa na uchungu wa kweli kwa Bara letu la Africa. Ma neo-colonialists wa sasa hivi (i.e most African leaders) wanafanya horrible and despicable things hawaogopi hata Mungu wao - visingizio chungu nzima kwa kutaka kurinda maslahi yao na ndugu zao wa karibu, nchi nyingi za Kiafrica zinaendeshwa kibabe sana na nyingine kugehuzwa mali ya ukoo!! Binafsi naona aibu sana nikiwasikia baadhi ya Viongozi wa Kiafrica wakiwatetea Viongozi wenzao wanao tuhumiwa kwa makosa ya jinia na si ya wizi bali mauuaji ya raia wa nchi yao, raia zaidi ya elfu moja wa Kenya walipoteza maisha kutokana na machafuko ya kisiasa, cha kushangaza hilo hawalioni badala yake wanavalia njuga mauuaji yaliyo fanywa na magaidi kwenye Supermarket hapo Kenyatta na Rutto wako very vocal ku-condem kundi la Al-Shabaab kwa mauuaji ya Raia na wageni ambao hawazidi 67, lakini ukija mauuji ya harahiki (a thousand plus Kenyans) huko lift Valley hapo wakina Rutto, Kenyatta na Viongozi wa Africa wanao watetea wanakaa kimya kabisa as if binadamu ni wale walio uwawa kwenye Supermarket na sio Wakenya walio uwawa Rift Valley - what a double standard!!Afrika ya Nyerere,Mandela,Kwame Nkrumah .......wasingekubali uhuni wa M7,Uhuru,Kagame...........Kuna pengo kubwa la uhadilifu wa uongozi miongoni mwa viongozi wa sasa wa bara la Afrika.AU imegeuka kuwa club ya madikteta,walaghai,wahuni,wezi,wanafiki ni bahati mbaya rais wangu Kikwete alikubali kuingia katika muungano mchafu sasa heshima yake inazidi kuporomoka kwa kasi ya ajabu kama alikuwa anatafuta uungwaji mkono katika EA ni bora angejikalia Dar kuliko kwenda Adisababa kuidhalilisha nchi ya Nyerere iliyokuwa inaheshimika katika jumuiya ya kimataifa kwasababu ya misimamo yake imara yenye kujali na kutetea utu wa mwafrika na wanyonge wa dunia nzima.
Ruto akabiliwa na ukweli kuhusu ushahidi dhidi ya kesi yake
right!! the witnesses are learned. the latest saying ruto chided moi for endorsing kibaki second term. the other mystery is why is raila quiet on the judiciary pushing schollei out. wakenya have been knocked out AGAIN in the phsycological bout.
raila is gifted in manipulating public views & perceptions against judiciary et al. if judiciary is corrupt why isnt he talking? next election will not be won democratically but through judicial ruling! icc will give uhuruto a raw deal