Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbuzi mzee naona unatengeneza mazingira ya rushwa hapa!
mkuu ndo umeamua kupotezea kabisa
Nadhani kasahau ule msemo wa Don't start something you cant finish (or rather wont finish)
Kikosi cha Kisasi
Hii itakuwa ndio imeishia hapa.Mbuzi mzee vipi? kama picha ndio limegotea hapa tujulishe!
Alikuwa mjasiriamali, just form four leaver, lakini aliwahi kuwa kiongozi wa wafanyabiashara hapa nchini, great aisehhhhhhh!!!Halafu wanamsingizia eti alidesa riwaya za James Hadley Chase na Agatha Christie!
Pengine anataka kusema "KWA UHONDO ZAIDI, USIKOSE NAKALA YAKO YA KITABU HIKI AMBAYO ITAKUWA SOKONI KUANZIA KESHO. KWA TAARIFA ZAIDI PIGA SIMU +255....."Da au wameiba kitabu