Willy Gamba, Hofu, Njama, na E MUSIBA, Mnakumbuka Enzi Hizo?

mkuu old mbuzi tuwekee vitu, au tuambie tusubili mpaka lini kwa maana kila nikiingia jf natafuta hii kitu ila nakuta hujaongeza chochote. mkuu tunakusubili
 
"Naam nimepata ujumbe wateleksikutoka kwa Marcelina kuwa mama anakufa".

aisee mambo ya Fax na Teleksi tu those days!!! sasa hivi ni Facebook na ma Twila.
 
Mod mko wapi jaribun kumkumbusha huyu mbuzi au km picha ndo imeishia hapa atoe taarifa tumechoka kusubilia bila matumaini
 
Mbuzi mzee vipi? kama picha ndio limegotea hapa tujulishe!
 
Huyu jamaa nadhani zile asante zote na like na pongezi za nguvu kwa kazi nzuri alizopewa wakati anatupia hii Doz inabidi anyanganywe kwa kuwaacha wasikilizaji njiani, yaani bora asingeanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…