Tetesi: Wilson Nkambaku anafuata baada ya Nyalandu kuondoka CCM!

Intallejensia ya Ccm bado inasoma Error 232....
 
Aise huyo Nkambaku atapita haraka sana asubuhi mapeeema kabla ya jogoo kusema kokolikoooooooooooooo
 
Naona matukio yanajirudia in retrospective way, tatizo sisini wsahaulifu sana.

Hiki kisa ni kama alipohama mzee Lowassa kwenda CDM.
Ilisemekana atahama na mamia ya wanachama/wenyeviti wa CCM wa wilaya mbalimbali na mawaziri kadhaa.

Kilichotokea wakati ule ni kuwaona Kingunge, Mwapachu, Lembeli na wanasiasa wachache wasiokuwa na ushawishi mkubwa ktk siasa wakimfuata mzee Lowassa. Baada ya hapo tunajua akina nani wamejikuta wanajutia maamuzi yao.

Sidhani kama huyo Mkambaku ana akili kama za wale wazee waliomfuata mzee mwenzao EL.
 
Unasemaje wewe mbwiga, CCM haikuyumba kuondoka kwa Lowasa, umesahau mabomu na magari ya washawasha yalivyoagizwa kwa fujo, au ulikuwa bado tumboni kwa bimkubwa wako?
Hayo mabomu na washawasha yalianza kuingizwa na Lyatonga Mrema tangu 1990s wakati akiwa bado Waziri wa CCM. Tena heri 1995 Lyatonga alisumbua siyo Eddo aliyepigiwa kura na wana Moshi- Arusha tu!!
 
Maamuzi ya kikabila ni kwenye bomoabomoa pengine
Mkuu umewapa za uso hatari. Hawa sasa wajiandae kukutwa kwenye nyumba ya makumbusho watoto wetu wajifunzie historia tu.
 
Aisee. Kama huyo kijana atarudi jimboni mi ntampa kura, he's so intelligent. Kingu Hana chake Na naiona Singida ikiwa Kama Arusha
Hili hasa wakiliweza singida umaskini wote wa pale utahamia mtela dodoma
 
Umasikini wa sisi wanaSingida ni wakutengenezwa na hawa wanasiasa. Trust me. Ila kupitia haya mageuzi naiona Singida mpyaaa

Sent from my VFD 500 using JamiiForums mobile app
Yaani kuna nguo mkishazizoea kuzivaa mjiandae kisaikolojia
Mimi maishani mwangu nguo ya kijani huwa sivai na nimeona uchumi wangu unakuwa sana soon baada ya kuanzia hilo zoezi
 
Ana impact gani au ndo wale WANASIASA TOGWA kama Nyalandu??
 
Naendelea kushangaa kwa sauti, hivi kijana una uwezo, akili na afya timamu unaendaje CCM?
 
Lowasa alikuja cdm na gad leo iko hivi ilivyo, no new vibration may bring unique impact.
Tusake maisha tutupe siasa pembeni
Siasa ndiyo maisha yenyewe mkuu.
Kwajuwa viongozu wa kisiasa ndo wanaopanga bajeti za maendeleo au kuirudisha nyuma jamii.Kwahiyo huwezi kutenganisha maisha na siasa.
 
All in all, tapeli Kingu has to go. Wanyampaa tumeamua
 

Sawa polepole
 
Yule mla fisi tulimsitiri halafu katuona machizi. All in all, tapeli Kingu has to go. Wanyampaa tumeamua
hatutaki ujinga tena aisee.Tumeamua na hatturudi nyuma.hawawezi kumshambulia kaka yetu na sisi tukae kimya
 
CCM mnahangaika nini kupoteza muda kumkashifu Nyalandu siku zote mlikuwa wapi acheni unafiki!!!! wewe kibajaji huwezi kujifananisha na Nyalandu hata kwa theluthi nani asiyekujua wewe elimu huna hujasoma hata darasa moja wewe ni mzee wa mipasho utadhani mwimbaji wa rusha roho. yaani kuwa watu mabwege kweli mtu kama hana faida na nyinyi kinawauma nini sasa kaeni kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…