Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Wanaidhamini na 5imba iliyofungwa mara nne mfululizo?Sababu ya msingi ni kudhamini team utitilili na bado wataendelea kuteseka
5imba iliyofungwa mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi goli 5 ilihongwa billions ngapi?Acheni kumnunulia mechi aone ugumu wa ligi atauwa na adabu
NA usm alger pamoja na copco ambayo ni size yenu π€£Wanaidhamini na 5imba iliyofungwa mara nne mfululizo?
Mulize manula mlizoea kupangiwa maduka haya mmerudi kucheza na copco na mbuni ambao ni size yenu5imba iliyofungwa mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi goli 5 ilihongwa billions ngapi?
Tumia akili yako vizuri. Kocha wako anasema ligi nyepesi maana yake ataendelea kushindwa kwenye mechi za nje. Msimnunulie mechi kwenye ligi. Aone siyo mnacheza na singida Mwigulu anataka yanga ishinde huo ugumu atauonea wapi?. Baadaye ya Tano ulimfunga Tena Tano?. Si mlipata moja kwa mbinde na shindano juu kwa wachezaji. Acheni kumsaidia na masindano yenu.5imba iliyofungwa mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi goli 5 ilihongwa billions ngapi?
Ni muongo uwezo wake wa kutambua uwezo wa wachezaji ni mdogo, Dube na Msonda mimi nawawekea alama ?Yes hiyo sio sababu ya msingi.
Yanga mwaka jana Katinga robo fainali kwa kumfunga CR Belouzdad goli 4-0.
Belouzdad ni timu kutoka Algeria Anaposema ligi yao ni ngumu na ina ushindani kuliko yetu.
Simba Juzi ameifunga Fc Constantine 2-0 na kuongoza kundi.
Fc Constantine ni timu kutoka Algeria anaposema ina ligi ngumu na yenye ushindani kuliko yetu.
Kwa mtu kama yeye kuokoteza visababu kama hivi haipendezi.
Alitakiwa aje na sababu za kiufundi za sisi yanga kushindwa kuifunga MC Alger ambayo naamini ni timu ya kawaida sana.
Sio kuja na sbabu za kufikirika kama hizi.
ππ€£π Ule mshuti wa mwamba wa Lusaka ukampalia pin ππ na beki wenu chizi akaona akijitieTumia akili yako vizuri. Kocha wako anasema ligi nyepesi maana yake ataendelea kushindwa kwenye mechi za nje. Msimnunulie mechi kwenye ligi. Aone siyo mnacheza na singida Mwigulu anataka yanga ishinde huo ugumu atauonea wapi?. Baadaye ya Tano ulimfunga Tena Tano?. Si mlipata moja kwa mbinde na shindano juu kwa wachezaji. Acheni kumsaidia na masindano yenu.
Pin ππ Juzi kahongwa bei gani?Mulize manula mlizoea kupangiwa maduka haya mmerudi kucheza na copco na mbuni ambao ni size yenu View attachment 3208720
Angewaokoa Sasa kwa mc Alger au pale mashuti hayajua mguuni. Kocha wenu kashasema ligi ya mabingwa imewazidi umri mtulie sasaππ€£π Ule mshuti wa mwamba wa Lusaka ukampalia pin ππ na beki wenu chizi akaona akijitie
Mc Alger ni ipo CAFCL ambayo timu lako la mambumbumbu haliwezi kushiriki, lipo huko umamaniAngewaokoa Sasa kwa mc Alger au pale mashuti hayajua mguuni. Kocha wenu kashasema ligi ya mabingwa imewazidi umri mtulie sasa
Mc Alger waliwazid, (wamewazidi), yanga kimbinuMc Alger ni ipo CAFCL ambayo timu lako la mambumbumbu haliwezi kushiriki, lipo huko umamani
Pole sana fikia rekodi yangu Miaka minne mfululuzo robo fainal champion ligi. na kwa taharifa yako sijawahi kutolewa makundi Kama wewe.Mc Alger ni ipo CAFCL ambayo timu lako la mambumbumbu haliwezi kushiriki, lipo huko umamani
Huna uweZo wa kucheza CAFCLPole sana fikia rekodi yangu Miaka minne mfululuzo robo fainal champion ligi. na kwa taharifa yako sijawahi kutolewa makundi Kama wewe.
Hakika walituzidiMc Alger waliwazid, (wamewazidi), yanga kimbinu