Wilson Oruma amshukia Kocha Yanga Saed Ramovic aache unafiki na kuficha Makosa yake

Wilson Oruma amshukia Kocha Yanga Saed Ramovic aache unafiki na kuficha Makosa yake

Waliweza kupoteza muda, kuzima mashambulizi golikipa alikuwa mahili sana wao walikuwa wanaitaka sare tu, na walifanikiwa Msonda kwa maoni yangu Hana uwezo mkubwa hata Dube
Hakika naona Musonda Yanga imemshinda, japo najua ni bonge la mchezaji, ila Sasa ni wakati wa kumpa mkono wa kwaheri
Dube ni mchezaji mzuri, ana mikimbio tatizo lake ana pressure nadhani akae na washauri wamuweke sawa tu
Ila tukubali mwaka huu haikuwa ridhiki yetu
 
Hakika naona Musonda Yanga imemshinda, japo najua ni bonge la mchezaji, ila Sasa ni wakati wa kumpa mkono wa kwaheri
Dube ni mchezaji mzuri, ana mikimbio tatizo lake ana pressure nadhani akae na washauri wamuweke sawa tu
Ila tukubali mwaka huu haikuwa ridhiki yetu
Msonda apewe .mkono wa kwaheri
 
Yanga wenye akili ni wawili tu kikwete na mzee manara.

Huyo saidi ramadhani ana changamoto ya afya ya akili akiongozwa na minguchiro ya humu ndani.
 
Kocha kasema hataki muendelee kumnunulia mechi. Anataka wachezaji wake wapambane wenyewe
 
Asichokijua, wabongo watampania kinoma noma.
Mdomo wake umemponza!
 
Pin 📌📍 Juzi kahongwa bei gani?
1000214333.jpg
 
Back
Top Bottom