Wimbi kubwa la wahitimu tegemezi wanaomaliza vyuo wasioweza kujitegemea, kuna faida ya kuwa na elimu ya chuo kama huwezi kujilisha?

Hakuna system ambayo kila mtu anaweza kujiajiri hata wewe unayedhani umejiajiri ni kwamba indirectly umeajiriwa na mteja wako..., sasa kwa nchi ambayo watu hawana disposable income kutokana na kwamba hakuna sekta zenye nguvu zaidi ya madalali na wachuuzi from top to bottom ni kwamba hakuna sustainability.

In short tunatibu au kutaka kutibu symptoms badala ya ugonjwa...; Kwahio hata hawa wauguzi na wakufunzi ambao bado kama taifa hawatoshi na tumetumia pesa nyingi kuwafundisha wakimaliza tuwafundishe kuuza mihogo au wafungue shule na hospitali zao (yaani tuongeze quantity na sio quality)
 
Umeongea fact, aibu yako ndo umaskini wako
 
Bado tunasikilizia 2025 wata achia nyingi sanaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…