sunguramjinga
Senior Member
- May 11, 2023
- 175
- 227
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwayungu village njoo huku...
Hakina faida. LAKINI hata vingine vinavyoanzishwa Bado Nia ni kupiga Hela. Tena vimeanzishwa na wale waliokosa fursa za ulaji cwt. Kwa maoni yangu kusiwe na vyama vya walimu maana havitasaidia chochote.CWT ni 🚮. Hivyo walimu wahame tu. Maana tulipiga sana kelele humu lakini hawakusikia. Hivyo kama mdau wa elimu, naunga mkono walimu kukihama hiki chama ambacho kwa miaka nenda kimekuwa kikiwaibia walimu hela zao, huku kikilindwa na serikali ya ccm.
Kitendo cha kuwakata wanachama wao ada ya kila mwezi kwenye mishahara yao kwa kiasi cha 2% ni cha hovyo kupitiliza! Na pia ni kitendo cha wizi.
Maana siamini kama kuna chama hapa duniani kinachowakata wananchama wake ada kila mwezi kwa aina hii wanayofanya CWT kwa walimu.
Kama wangekuwa siyo wezi, walitakiwa kuwakata walimu ada ambayo ni sawa, badala ya kuwakata kwa %, na hivyo kutengeneza tofauti kubwa ya makato kati ya mwalimu aliyeanza kazi mapema dhidi ya yule mpya. Mfano kila mwalimu angekatwa elfu 5 tu kila mwezi. By the way, hiyo CWT sidhani kama ina faida yoyote ile kwa walimu. Na kama ipo, basi nijulishwe hapa jukwaani.
Ww ulipenda waende wapi mkuu hapa jamii forum ndio kisima cha Elimu funguka ulipenda walimu waende wapi?Sasa wanakotoka na wanakoenda si ni kitu kile kile!
Walimu bhana... Sijui wakoje
ExactlyHakina faida. LAKINI hata vingine vinavyoanzishwa Bado Nia ni kupiga Hela. Tena vimeanzishwa na wale waliokosa fursa za ulaji cwt. Kwa maoni yangu kusiwe na vyama vya walimu maana havitasaidia chochote.
Mwalimu; ilipaswa kila mtu abaki na hela wasome upepo. Ikibidi kugoma wajitokeze wagomeWw ulipenda waende wapi mkuu hapa jamii forum ndio kisima cha Elimu funguka ulipenda walimu waende wapi?
MackenzieJPM alikuwa nabii
View attachment 2619915
Walimu wanasema hv wao waliunganishwa na hk kinaitwa cwt bila ridhaa yao yaan walidakwa juu kwa juu na kuanza kukatwa ada ya uanachama na ninaamini ni kinyume cha SHERIA.Na unaambiwa pamoja na kuwa chama kipya kinakata Tshs 5000/= tu kila mwezi tofauti na cwt bado walimu wengi wanakipenda chama cha cwt zaidi na sababu za msingi hawana.Mwalimu; ilipaswa kila mtu abaki na hela wasome upepo. Ikibidi kugoma wajitokeze wagome
Walidakwa juu kwa juu?Walimu wanasema hv wao waliunganishwa na hk kinaitwa cwt bila ridhaa yao yaan walidakwa juu kwa juu na kuanza kukatwa ada ya uanachama na ninaamini ni kinyume cha SHERIA.Na unaambiwa pamoja na kuwa chama kipya kinakata Tshs 5000/= tu kila mwezi tofauti na cwt bado walimu wengi wanakipenda chama cha cwt zaidi na sababu za msingi hawana.
Nipo kakaDaaah Mpwayungu Village yuko wapi? 😄😄😄
Nipo kaka
Huwez kusema wez Kwa kuangalia Makato Maana yapo kisheria kulingana na mkataba baina ya cwt na walimuNi tofauti mkuu.
Kwa sasa kama basic salary ya mwalimu ni 2,400,000 kila mwezi anakatwa 2,400,000*2/100 = 48,000 Tsh anakatwa Kila mwezi mara Miezi 12.= 576,000
ambapo kwa chama kipya mwalimu huyo Huyo atakatwa 5,000 kwa mwezi na kwa mwaka atakatwa 60,000.
576,000 ~ 60,000 = 516,000 mwalimu atasave kwa mwaka.
CWT ni wezi
Mpwayungu village njoo huku...here iam
Kinatambulika kisheria na wanasikilizwaKumbe hoja ni wizi wa CWT... Mbona hata hao wengine wameanza na dalili mbaya sana 5,000! Si Kila mwaka itapanda!
Haya tuje kwenye maswali ya msingi:
Hicho Chama kipya mna uhakika kitasimamia masuala nyeti ya walimu kama nyongeza ya mishahara, posho, mafunzo kazini, n.k?
Au mkikatwa 60,000 kwa mwaka tayari mmemaliza??
Vyama vya wafanyakazi ni lazima viwepo. Changamoto iliyopo katika nchi yetu, ni hiki chama cha mapinduzi ccm kujimilikisha kila kitu.Hakina faida. LAKINI hata vingine vinavyoanzishwa Bado Nia ni kupiga Hela. Tena vimeanzishwa na wale waliokosa fursa za ulaji cwt. Kwa maoni yangu kusiwe na vyama vya walimu maana havitasaidia chochote.
Sasa walimu wamekomaa akili wanatoka CWT yenye makato ya 2% ya basic salary kwa Kila mwezi kwenda kwenye chama kipya kitakachoksta 5,000 Tsh flat rate kwa Kila mweziSasa wanakotoka na wanakoenda si ni kitu kile kile!
Walimu bhana... Sijui wakoje
Hiki chama cha wezi Tanzania CWT kinawasumbua walimu toa japo neno kwa walimu 😄😄😄Nipo kaka