peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
- Thread starter
- #41
Hizo fedha zinazokatwa inafanya kazi gani kama Sio wiziHuwez kusema wez Kwa kuangalia Makato Maana yapo kisheria kulingana na mkataba baina ya cwt na walimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo fedha zinazokatwa inafanya kazi gani kama Sio wiziHuwez kusema wez Kwa kuangalia Makato Maana yapo kisheria kulingana na mkataba baina ya cwt na walimu
Kimeumana Sasa Cwt wao wakate 4000 tu Ili kuwaamini tenaHiki chama cha wezi Tanzania CWT kinawasumbua walimu toa japo neno kwa walimu [emoji1][emoji1][emoji1]
Kweli hiyo ndiyo maana ya soko huria.Kimeumana Sasa Cwt wao wakate 4000 tu Ili kuwaamini tena
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Hakuna mkataba wowote ambao walimu waliingia na hao Cwt .Walimu wamekuwa wakiingizwa kinyemela kwenye Cwt kwa kuwatumia maafisa utumishi pasipo Mwl husika kujaza fomu ya kisheria iitwayo Tuf 15.Hao makatibu wa Cwt wajiandae kuja kuongezea ikama mashuleni .IdiotsHuwez kusema wez Kwa kuangalia Makato Maana yapo kisheria kulingana na mkataba baina ya cwt na walimu
Dah! aiseee hivi ndo kweli mti unaopigwa mawe mengi ndo mti wenye matunda ama?
Logo hafifu kupita maelezo ,designer kala kumi na tano elfu inavyoonekanaCWT walijinunulia magari na kujenga majimbo ya kifahari sasa wamelala kuti kavu
View attachment 2619977
Hata hivyo cwt hawajawahi kufanya haya pamoja na hela zote wanazochukua..labda kama wamefanya kwa wengineKumbe hoja ni wizi wa CWT... Mbona hata hao wengine wameanza na dalili mbaya sana 5,000! Si Kila mwaka itapanda!
Haya tuje kwenye maswali ya msingi:
Hicho Chama kipya mna uhakika kitasimamia masuala nyeti ya walimu kama nyongeza ya mishahara, posho, mafunzo kazini, n.k?
Au mkikatwa 60,000 kwa mwaka tayari mmemaliza??
Ingependeza kauli mbiu ingesomeka HAKUNA WAJIBU BILA HAKI maana HAKI ndio inatakiwa itangulie ili WAJIBU utendekeCWT walijinunulia magari na kujenga majimbo ya kifahari sasa wamelala kuti kavu
View attachment 2619977
Hakuna mkataba wa kisheria kati ya cwt na walimu. Kinachotokea mwalimu akiajiriwa cwt inamkata pesa kwenye mshahara wake bila ya ridhaa yake. Yaani wanatumia mabavu kuwaibia walimu fedha zao. Walimu hawapewi fomu ya kujiunga na chama hiko kwa ridhaa yao wenyeweHuwez kusema wez Kwa kuangalia Makato Maana yapo kisheria kulingana na mkataba baina ya cwt na walimu
Hujaelezea huo mhamo!JPM alikuwa nabii
View attachment 2619915
Katika moja ya hotuba zake, Rais Magufuli alizungumzia michango ya 2% ambayo walimu hukatwa kwenye mishahara yao ili kuchangia Chama Cha Waalimu (CWT). Magufuli alisema michango hiyo hukipa CWT zaidi ya bilioni 3 kila mwezi, na walimu wamekuwa hawajiulizi ni kwa namna gani fedha hizo zimekuwa zikitumika.
Katika hotuba hiyo Magufuli alitoa wito kwa waalimu kulalamikia kuhusu matumizi ya michango yao kama ambavyo wamekuwa wakifanya katika kuidai serikali. Pia amezungumzia benki ya walimu ambayo amesema kwa sasa haifanyi vizuri na pia imekuwa ikinufaisha wafanya biashara badala ya walimu.
Sio wezi ni wahuni na majambazi.... Ni pirates !!!Ni tofauti mkuu.
Kwa sasa kama basic salary ya mwalimu ni 2,400,000 kila mwezi anakatwa 2,400,000*2/100 = 48,000 Tsh anakatwa Kila mwezi mara Miezi 12.= 576,000
ambapo kwa chama kipya mwalimu huyo Huyo atakatwa 5,000 kwa mwezi na kwa mwaka atakatwa 60,000.
576,000 ~ 60,000 = 516,000 mwalimu atasave kwa mwaka.
CWT ni wezi
Lini CWT iliwahi kuyasimamia ????Kumbe hoja ni wizi wa CWT... Mbona hata hao wengine wameanza na dalili mbaya sana 5,000! Si Kila mwaka itapanda!
Haya tuje kwenye maswali ya msingi:
Hicho Chama kipya mna uhakika kitasimamia masuala nyeti ya walimu kama nyongeza ya mishahara, posho, mafunzo kazini, n.k?
Au mkikatwa 60,000 kwa mwaka tayari mmemaliza??