Wimbi la walimu kuhama CWT Tanzania limeshika kasi

Hakina faida. LAKINI hata vingine vinavyoanzishwa Bado Nia ni kupiga Hela. Tena vimeanzishwa na wale waliokosa fursa za ulaji cwt. Kwa maoni yangu kusiwe na vyama vya walimu maana havitasaidia chochote.
 
Hakina faida. LAKINI hata vingine vinavyoanzishwa Bado Nia ni kupiga Hela. Tena vimeanzishwa na wale waliokosa fursa za ulaji cwt. Kwa maoni yangu kusiwe na vyama vya walimu maana havitasaidia chochote.
Exactly
 
Ww ulipenda waende wapi mkuu hapa jamii forum ndio kisima cha Elimu funguka ulipenda walimu waende wapi?
Mwalimu; ilipaswa kila mtu abaki na hela wasome upepo. Ikibidi kugoma wajitokeze wagome
 
Mwalimu; ilipaswa kila mtu abaki na hela wasome upepo. Ikibidi kugoma wajitokeze wagome
Walimu wanasema hv wao waliunganishwa na hk kinaitwa cwt bila ridhaa yao yaan walidakwa juu kwa juu na kuanza kukatwa ada ya uanachama na ninaamini ni kinyume cha SHERIA.Na unaambiwa pamoja na kuwa chama kipya kinakata Tshs 5000/= tu kila mwezi tofauti na cwt bado walimu wengi wanakipenda chama cha cwt zaidi na sababu za msingi hawana.
 
Walidakwa juu kwa juu?
 
Huwez kusema wez Kwa kuangalia Makato Maana yapo kisheria kulingana na mkataba baina ya cwt na walimu
 
Kinatambulika kisheria na wanasikilizwa
 
Hakina faida. LAKINI hata vingine vinavyoanzishwa Bado Nia ni kupiga Hela. Tena vimeanzishwa na wale waliokosa fursa za ulaji cwt. Kwa maoni yangu kusiwe na vyama vya walimu maana havitasaidia chochote.
Vyama vya wafanyakazi ni lazima viwepo. Changamoto iliyopo katika nchi yetu, ni hiki chama cha mapinduzi ccm kujimilikisha kila kitu.

Yaani kila eneo kinapenyeza mamluki wake, na ambao mwisho wa siku huishia kulinda maslahi ya serikali ya ccm, badala ya maslahi ya chama husika cha wafanyakazi.

Thats kutoka moyoni siipendi ccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…