Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Mh! hapo kwenye yakondoo umetaja vitu mpaka mmbichwa wangu wachini umeshituka!Limeibuka wimbi kubwa la wanawake wanatumia mikorogo mikali wakijidai ni vipodozi vya kisasa
Yaani hao wauzaji wameiva kama mapapai.yaani wanawake sie
Mungu akituweka miaka mitano tutajionea maajabu
Wamuulize luiza mbutu na dotinata
Ngoja nijipikie mafuta yangu ya nazi nipake usoni
Na ya mkia WA kondoo napaka makalio na sehemu za Siri
Ya ng'ombe miguuni na kichwani .siwezi kuingia uzeeni kizembe na ngozi iliyoungua kwa kweli
Kawacheki insta huko wanawaka kama juaWapi picha!
Wanawaka sio kidogo.set 150,000 mtu anawaka kuliko juaAcha tu watumie , ikiwezekana wawe wanawaka kama jua
Acha wapendezeWanawaka sio kidogo.set 150,000 mtu anawaka kuliko jua
Watu wanapiga hela balaa.yaani wanawake hatujiamini kabisaWadada weusi siku hizi hawana confidence. Wadada wengi siku hizi ni weupe. Wadada weupe wanaongezeka kwa speed Sana
Vipodozi inaonekana ni Biashara ambayo inamuokoto mrefu
Uzuri WA mkorogo mwanzoni unakukubali ila ngozi inachoka muda unavoenda unajikuta umekuwa kitukoMh! hapo kwenye yakondoo umetaja vitu mpaka mmbichwa wangu wachini umeshituka!
They don't care....Outcomes of Skin Thinning.... !!!
Fanya picha yako pm nikuone mrembo ambae hautumii mkorogo maana mmekuwa adimu sasa!Uzuri WA mkorogo mwanzoni unakukubali ila ngozi inachoka muda unavoenda unajikuta umekuwa kituko
Nikiwa nimejipaka mafuta au nikiwa bado?Fanya picha yako pm nikuone mrembo ambae hautumii mkorogo maana mmekuwa adimu sasa!