mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Hivi ni kwanini mnajali sana kuhusu ueupe?Mbona umechelewa kuniambia?š„²
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kwanini mnajali sana kuhusu ueupe?Mbona umechelewa kuniambia?š„²
Sio pombe Kali Tu za ovyo hazina uboraNa wanaume wanakunywa pombe kali ...taifa lisilo na futureš
Zote mama before and after itapendeza zaidi...Nikiwa nimejipaka mafuta au nikiwa bado?
Hii ni ishu ya saikolojia,Hivi ni kwanini mnajali sana kuhusu ueupe?
Unadhani wanaume tunajali? Hatujali.Hii ni ishu ya saikolojia,
Ngozi nyeupe inaonekana nzuri, inayovutia.
Mimi napenda maji ya kunde.
Mnajali Sana tena sio kidogoUnadhani wanaume tunajali? Hatujali.
Ahaaa kweli siku utasikia kuglowKujichubua ndy wanaita kuglow...
Matangazo ya IG ndy yanawapoteza..
Hupendi anaeglow?sipendi mwanamke anayejichubua mi
Nitajua nikiona.Mnajali Sana tena sio kidogo
Ukiwekewa mwanamke mweupe. Na mweusi huku other factors ziko constant.utachagua white
Naomba kazi ya kukupaka mafuta.Mnajali Sana tena sio kidogo
Ukiwekewa mwanamke mweupe. Na mweusi huku other factors ziko constant.utachagua white
Daaaahhh....Na ya mkia WA kondoo napaka makalio na sehemu za Siri
Ulishawai kuona kalio la kondoo wewe?Kwanini uchague mafuta ya kondoo ndio yawe ya kujipaka makalioni.
Enhee kwahiyo ukitumia futa lake nawe unakuwa hivyo hivyo?Ulishawai kuona kalio la kondoo wewe?
Kumbe dotinata bado yupo duniani!Limeibuka wimbi kubwa la wanawake wanatumia mikorogo mikali wakijidai ni vipodozi vya kisasa
Yaani hao wauzaji wameiva kama mapapai.yaani wanawake sie
Mungu akituweka miaka mitano tutajionea maajabu
Wamuulize luiza mbutu na dotinata
Ngoja nijipikie mafuta yangu ya nazi nipake usoni
Na ya mkia WA kondoo napaka makalio na sehemu za Siri
Ya ng'ombe miguuni na kichwani .siwezi kuingia uzeeni kizembe na ngozi iliyoungua kwa kweli