Wimbo bora wa kwaya wa siku zote (Best of all times)

Wimbo bora wa kwaya wa siku zote (Best of all times)

Ngoja tuongoze
  • Magena -ombi langu
  • Pillars of faith-upendo
  • Beatrice muhone- si njia rahisi, habari njema, kijito cha utakaso, yu pekee(hakuna rafiki kama yesu), bwana yesu yuko wapi,
  • Kuna wakongo wanajiita injili international choir wimbo unaitwa songa mbele
  • kwa mji wa mwangaza-Godwin Ombeni and ruach worship. Humu kuna kadada huwa napenda sana sauti yake
Mkuu unaweza kuta sisi ni ndgu hahahah (kidding)

Huo wimbo wa songa mbele, wife anaupenda hatari hatari

Huo wimbo wa Mji wa mwangaza.. dah.. Ombeni anajua kuimba aisee..
 
Shaloom wakuu,

Tasnia ya muziki wa injili kwa vikundi vya kwaya hapa Tanzania ni tasnia kongwe na iliyotawala zaidi kwenye chati za nyimbo za dini ya Kikristo mpaka ilipofikia miaka ya 2000's ambapo walianza kuibuka waimbaji wa kujitegemea wa nyimbo za injili na kwa wingi wao imepelekea umaarufu wa vikundi na nyimbo za kwaya kushuka kwa miaka ya karibuni.

Binafsi ni mpenzi mkubwa wa nyimbo za kwaya toka miaka hiyo mpaka sasa na leo niliamka nikiwaza ni nyimbo gani ya injili ya kwaya ambayo tunaweza kusema ndio nyimbo bora zaidi kupata kutengenezwa/kuimbwa hapa Tanzania toka mziki huu uanzishwe.

Naomba mnisaidie kuchagua namba moja kwenye list ya nyimbo za kwaya ninazoona ziliwahi kutikisa sana tasnia ya nyimbo za injili na wewe pia unaweza kuongezea chaguo lako kama unaona haipo kwenye orodha hiyo;

1. Tabata Menonite - Kunyata nyata
2. AIC Makongoro- Utumwa wa waisrael & Kekundu
3. Mtoni Evangelical- Lulu
4. Bethel Gospel - Yupo Mungu
5. Barabara ya 13- Samson na Delila
6. Mapigano Ulyankuru- Katika viumbe vyote & Goliati & Fahari ya vijana
7. Nkinga choir - Sauli wanitesa
8. KKKT Mabibo - Nijaposema kwa lugha & Sauti ikatoka.
9. AIC Chang'ombe - Gusa
10. Zablon Singers - Mkono wa Bwana
11. Jerusalem choir - Kesho ni yako
12. Kijitonyama uinjilisti - Hakuna kama wewe
13. Pastor Alex & Mary Atieno - Sodoma na Gomorrah
14. Eternal life gospel - Sio sisi
15. Mtakatifu Kizito Makuburi - Mimina & Yesu ni mwema
16. Mt. Theresia Matogoro - I love you
17. Kapotive star- Nimeonja pendo lako
18. Arusha town - Kila mtu na mzigo wake
19. Tafes (Ardhi)- Maserafi
20. Essence of worship- Mimi siwezi

Karibuni.
Lakini hapo KKKT Kijitonyama umewakazia hebu rejea hizi
1)eyawe simbanga
2)simba wa Yuda
3)msalaba wa yesu
4)hakuna mwanaume kama yesu
5)ndani ya safina
Kama unapenda kusikiliza vyombo vya mziki hebu sikiliza hizo kitu ni habari nyingine kabisa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Shaloom wakuu,

Tasnia ya muziki wa injili kwa vikundi vya kwaya hapa Tanzania ni tasnia kongwe na iliyotawala zaidi kwenye chati za nyimbo za dini ya Kikristo mpaka ilipofikia miaka ya 2000's ambapo walianza kuibuka waimbaji wa kujitegemea wa nyimbo za injili na kwa wingi wao imepelekea umaarufu wa vikundi na nyimbo za kwaya kushuka kwa miaka ya karibuni.

Binafsi ni mpenzi mkubwa wa nyimbo za kwaya toka miaka hiyo mpaka sasa na leo niliamka nikiwaza ni nyimbo gani ya injili ya kwaya ambayo tunaweza kusema ndio nyimbo bora zaidi kupata kutengenezwa/kuimbwa hapa Tanzania toka mziki huu uanzishwe.

Naomba mnisaidie kuchagua namba moja kwenye list ya nyimbo za kwaya ninazoona ziliwahi kutikisa sana tasnia ya nyimbo za injili na wewe pia unaweza kuongezea chaguo lako kama unaona haipo kwenye orodha hiyo;

1. Tabata Menonite - Kunyata nyata
2. AIC Makongoro- Utumwa wa waisrael & Kekundu
3. Mtoni Evangelical- Lulu
4. Bethel Gospel - Yupo Mungu
5. Barabara ya 13- Samson na Delila
6. Mapigano Ulyankuru- Katika viumbe vyote & Goliati & Fahari ya vijana
7. Nkinga choir - Sauli wanitesa
8. KKKT Mabibo - Nijaposema kwa lugha & Sauti ikatoka.
9. AIC Chang'ombe - Gusa
10. Zablon Singers - Mkono wa Bwana
11. Jerusalem choir - Kesho ni yako
12. Kijitonyama uinjilisti - Hakuna kama wewe
13. Pastor Alex & Mary Atieno - Sodoma na Gomorrah
14. Eternal life gospel - Sio sisi
15. Mtakatifu Kizito Makuburi - Mimina & Yesu ni mwema
16. Mt. Theresia Matogoro - I love you
17. Kapotive star- Nimeonja pendo lako
18. Arusha town - Kila mtu na mzigo wake
19. Tafes (Ardhi)- Maserafi
20. Essence of worship- Mimi siwezi

Karibuni.
Umesahau
1.Aleluya kuu 2. Uzipokeee,. 3.watoto wa nyumba zote 4. Maajabu ya Mungu 5.
 
Lakini hapo KKKT Kijitonyama umewakazia hebu rejea hizi
1)eyawe simbanga
2)simba wa Yuda
3)msalaba wa yesu
4)hakuna mwanaume kama yesu
5)ndani ya safina
Kama unapenda kusikiliza vyombo vya mziki hebu sikiliza hizo kitu ni habari nyingine kabisa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kweli asee...walikua hawakosei
 
1.TABATA MENNONITE ila siyo kwa wimbo wa KUNYATA NYATA bali ule wimbo wao mwingine wa WATU WANAPENDA MIKATE.

2.AIC CHANG'OMBE

3.MT. KIZITO MAKUBURI DAR- WATOTO WA NYUMBA ZOTE.

4.LUTHERAN MABIBO- Ile Album yao ya SAUTI IKATOKA.

5.MUUNGANO CHRISTIAN CHOIR- HAKIKA "Natembea nikiwa marehemu".

6.KAPOTIVE STARS.

7.MT. CECILIA ARUSHA-MSHIPI.

8.AMBASSADORS OF CHRIST RWANDA.

9.MABATINI ADVENTIST CHOIR MWANZA.

10.MT. MAURUS MAKONGOROSI, CHUNYA.
Huo wa tatu kati ya nyimbo za kanisa katoliki zinazoishi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu unaweza kuta sisi ni ndgu hahahah (kidding)

Huo wimbo wa songa mbele, wife anaupenda hatari hatari

Huo wimbo wa Mji wa mwangaza.. dah.. Ombeni anajua kuimba aisee..
Songa mbele ni bonge la gospel jamaa wale wanaimba uwezi amin kama ni wasabato alaf kuna jamaa akaja niambia kuwa ni wakongo
 
Huo wa tatu kati ya nyimbo za kanisa katoliki zinazoishi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni kweli, Mkuu!

Kuna nyimbo zinatungwa kwa uzuri, umakini, na umahiri wa hali ya juu na kudumu katika ubora kwa kizazi hata vizazi.

Nyimbo inagusa mpaka mtu asiye na DHEHEBU wala DINI anakubali kwa moyo mkunjufu na kuisifu.

Nyimbo inagusa, inaponya, inajenga, inaelimisha, inaonya, inaburudisha, na kuadilisha pia mpaka hata wafuasi wa Mtume MUHAMAD S.A.W wanakwambia huu wimbo umeimbwa vizuri.

Kwa upande wa RC (ROMAN CATHOLIC) kwaya zao ninazo zikubali kwa muda wote ni hizi hapa:,

1.KWAYA YA MT. KIZITO MAKUBURI, DSM.

2.KWAYA YA MT. MAURUS, MAKONGOROSI, CHUNYA.

3.KAPOTIVE STARS.

4.KWAYA YA MT. CECILIA, ARUSHA.

5.KWAYA YA MT. JOSEPH

6.KWAYA YA MT. YUDA THADEI, MWANZA.
 
Ni kweli, Mkuu!

Kuna nyimbo zinatungwa kwa uzuri, umakini, na umahiri wa hali ya juu na kudumu katika ubora kwa kizazi hata vizazi.

Nyimbo inagusa mpaka mtu asiye na DHEHEBU wala DINI anakubali kwa moyo mkunjufu na kuisifu.

Nyimbo inagusa, inaponya, inajenga, inaelimisha, inaonya, inaburudisha, na kuadilisha pia mpaka hata wafuasi wa Mtume MUHAMAD S.A.W wanakwambia huu wimbo umeimbwa vizuri.

Kwa upande wa RC (ROMAN CATHOLIC) kwaya zao ninazo zikubali kwa muda wote ni hizi hapa:,

1.KWAYA YA MT. KIZITO MAKUBURI, DSM.

2.KWAYA YA MT. MAURUS, MAKONGOROSI, CHUNYA.

3.KAPOTIVE STARS.

4.KWAYA YA MT. CECILIA, ARUSHA.

5.KWAYA YA MT. JOSEPH

6.KWAYA YA MT. YUDA THADEI, MWANZA.
Kuna ule wimbo wa mchaka mchaka mkimbilie Yesu aisee yule dada ana sauti nzuri sana
 
UPDATES:
Nikiri kwamba sikuzitendea haki hizi nyimbo kwakuzisahau kwenye orodha:
1. Mt. Kizito - Watoto wa nyumba zote
2. Muungano choir - Natembea mimi ni marehemu
3. Kkkt Kijitonyama - Simba wa Yuda

Tuendelee kukumbushana wakuu na kutambua kazi nzuri zilizofanywa na kwaya zetu.
 
Mimi Yesu - Amkeni Fukeni choir
Yesu ni mwema - Makuburi
Nimekupata Yesu - ambassadors of Christ
Zimetiririka neema za Mungu - Maria de Mattias
Mahali ni pazuri - unknown/tenzi za rohoni
Mkono wake Bwana - Zabron singers
I love you - Mt. Theresa
Ninaikumbuka siku - Mt. Sesilia mererani
Sadaka yangu - Mathias mulumba, Dodoma
Kidole juu - Mt. Sesilia, Arusha mjini
Nitamuhimidi Bwana - Mt. Sesilia Arusha
Kwetu Pazuri - ambassadors of Christ
 
Back
Top Bottom