Wimbo gani wa King Ali Kiba unaoukubali zaidi?

Wimbo gani wa King Ali Kiba unaoukubali zaidi?

Mkuu ni juzi kati tu ametoka rehab....usiniambie kama karudi tena kwenye ngada?!
Tena ni bora kabisa asingeenda huko rehab amekuwa kama kichaa,wizi uchafu kama hauamini ulizia maskani za kinondoni ndipo anaposhinda
 
Mapenz yana run dunia na dushelele..

Akiandika nyingine kama hizo au zaid ya hizo mnishtue.. Sijawah kuzichoka hizo nyimbo, mapenz yanarun dunia verse ya kwanza alitulia hasa na ule uimbaji wake akamaliza kabsa, dushelel kuanzia mwanzo mpka mwisho ni hatar
 
hakuna hata moja inayonivutia! Kiba zaman bhana sio kiba wa sasa hv! Kiba ninayemjua mm kiba wa Maki muga , nichum nk
 
Macmuga,, na mwana,, 'mwana''naupenda Sana,kuanzia tungo na video,,!chekecha una mashairi matamu Sana, japo video haikuwa kali kivile!!!,
 
Macmuga,, na mwana,, 'mwana''naupenda Sana,kuanzia tungo na video,,!chekecha una mashairi matamu Sana, japo video haikuwa kali kivile!!!,
Mkuu naona tupo tofauti kidogo.

Mimi nadhani Chekecha ilikuwa na video nzuri zaidi kuliko Mwana.

Ila mwana ni wimbo mkali kuliko Chekecha.
 
Kiba kaimba hits nyingi sana nikiambiwa niandike top 5 basi itakuwa hivi...

1. Kikomo feat Dully Sykes

2. My everything

3. Mapenzi yanarun dunia

4. Mwana

5. Dushelele


Mkuu hiyo kikomo si ndio ile Ali ana-rap huku dully akipiga chorus?

Ni nyimbo za mwanzo mwanzo kabisa za Ali.Nadhani ule wimbo uliitwa "Kuteseka nimechoka"
 
Dushelele
Mapenzi yana run dunia
Karim
Mwana

Hizi nyimbo zinafaa kufundishia kiswahili mashuleni
 
Back
Top Bottom