Wimbo gani wa King Ali Kiba unaoukubali zaidi?

Wimbo gani wa King Ali Kiba unaoukubali zaidi?

Nakshi nakshi
Mac Muga
Mapenzi yanarun dunia
Single boy
Dushelele
 
Dushelele, Aje na nagharamia aloshirikishwa na Bella.
Mi kiba asipobana sauti basi wimbo wake lazima niuone mzuri. I'm highly allegic na tusauti twembamba na sauti zilizonyooka tu zisizokuwa na mbwembwe.
 
Mapenzi yana run dunia asee hiyo ilikuwaga tamuu mpaka na leo
 
Mac Muga ni hatari! ila changamoto za mondi ndio zinamfanya kiba awe mkali zaidi
 
Nyimbo zangu mbili Bora za Muda wote kutoka kwa Kiba;

2. Hadithi - Kiba ft. Mr. Mim



1. Cheketua

Huu wimbo unanikosha sana mistari yake mle ndani, hasa verse ya pili ile..

[emoji444] ..penzi alinipa mama, nami leo nakupatia, tena sitaki lawama, penzi kiapo hakuna... Mi ntakupenda sana mpaka wivu wote utakimbia.. Nami ntalia na wewe, mimi kwako nyang'a nyang'a nyang'a..[emoji445]

Cc Nifah [emoji4] [emoji4]
 
Nyimbo zangu mbili Bora za Muda wote kutoka kwa Kiba;

2. Hadithi - Kiba ft. Mr. Mim



1. Cheketua

Huu wimbo unanikosha sana mistari yake mle ndani, hasa verse ya pili ile..

[emoji444] ..penzi alinipa mama, nami leo nakupatia, tena sitaki lawama, penzi kiapo hakuna... Mi ntakupenda sana mpaka wivu wote utakimbia.. Nami ntalia na wewe, mimi kwako nyang'a nyang'a nyang'a..[emoji445]

Cc Nifah [emoji4] [emoji4]
"Kama mapenzi ghorofa yamejaa kariakoo"
"Nina mapenzi tele kama kwetu kule"

Mistari haina vina ila ina maneno ya kueleweka sio kulazimisha vina mpaka unatukana.

Samahani Shemeji.
 
Nyimbo zangu mbili Bora za Muda wote kutoka kwa Kiba;

2. Hadithi - Kiba ft. Mr. Mim



1. Cheketua

Huu wimbo unanikosha sana mistari yake mle ndani, hasa verse ya pili ile..

[emoji444] ..penzi alinipa mama, nami leo nakupatia, tena sitaki lawama, penzi kiapo hakuna... Mi ntakupenda sana mpaka wivu wote utakimbia.. Nami ntalia na wewe, mimi kwako nyang'a nyang'a nyang'a..[emoji445]

Cc Nifah [emoji4] [emoji4]
Awwwwwwww hapo kwa hadithi wajua ninavyoupenda,ndio wimbo wangu bora wa miaka yote wa Ali Kiba.
Nyingine ni Dushelele,Karim,Far Away & Aje.

[emoji444] Niseme nini nami yameshaniumiza (meniumiza roho)
Kama ni mapenzi nimeshateswa sanaaaaa
Slow slow baby,nikiss tena
Watu wanaumia aaaaah
Ukinitenda,nitaumia sana
Nitaumia babyyyy aaaaaaah [emoji444]

[emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Back
Top Bottom