Wimbo huu una "nguvu" ya ajabu sana!

Hakuna wimbo wenye kumpa mtu furaha kama komasava
 
Tatizo lugha ndugu yangu
 
Hapo ubeti wa nne ndio balaa kabisa. Yanatolewa matumaini hewa badala ya kufanya kazi kwa nguvu zote na kusubiria mafanikio unaambiwa umsubiri mtu aje akufute machozi
Wagonjwa wa ngwengwe wenyewe hawaishitu kwa matumaini bali wanakula vidonge na kuzingatia masharti
 
Unaupa jina gani? Kwa msaada wa AI..
Your browser is not able to play this audio.
 
Siyo katika hali ya verse namba moja.
Pesa isikie tu mkuu....Tumaini linakuwa kwa Bwana lakini mawenge kede🙌
Ni kweli mawenge yatakuwepo. Lakini hebu jaribu kuwaza: huna pesa, una mawenge kede, halafu mtu anakutungia wimbo wa kukukatisha tamaa, mawenge si ndiyo yataongezeka mara 100?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…