Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
makutupora semaji la chama Cha majobless pro max tuna wimbo wetu huku wa kututia nguvu uje uusikieUnaupa jina gani? Kwa msaada wa AI..
View attachment 3231002
Wasungu wanaita hizo "Lyrics" Ukiu-download bila hizo lyrics unaweza usielewe kilichoimbwa. Hivyo kusoma lyrics ni muhimu pia, Mkuu.Sasa sinuiweke tuu download, mambo ya kusoma nyimbo ambayo hata hujawahi isikia ndio mambo gani hayo?
Wow! Hiyo ni habari njema. Ubarikiwe sana, MkuuKwanza Ubarikiwe sanaaa! Mungu akubariki Tena na Tena!
Kuna wakati nikiwa kidati Cha pili, Parane High School.
Pastor Mussa Nzumbi aliitisha Mfungo na maombi ... Haikuwa lazima! Ilikuwa kwa kupenda tu!
Nilishiriki! Katika Mfungo ule ilikuwa kipindi wenzetu wanaenda kula lunch, sisi tunapanda Mlimani kuomba na Pastor!
Sijui ilikuwa ni maombi na mfungo wa siku ya ngapi! Ila Pastor alituimbisha wimbo!
Nilitokea kuupenda sana! These two years nimepita na naendelea kupit katika Mapito magumu sana!
Kwa miaka miwili nimejaribu kuumbuka huo wimbo lakini sijafanikiwa ... Ni wimbo wa kufarijiri na kutia moyo!
Ila baada ya kusoma huu uzi! Nilivyo malizia tu huwezi amini huo wimbo ukanijiaaa
Haraka Nikaenda YouTube na nimeupata 😂
Wewe ni mdyadyaa mkuu? Nataka kukwambia jambo 😂Bado haujaingia yutubuuuuu, Mkuu
Asantee sanaaaaaaaa! Neema ya Mungu izidi kwakoWow! Hiyo ni habari njema. Ubarikiwe sana, Mkuu
Wewe ndio una play sana huo wimbo usiku hapa nje kwangu nini?Wimbo unaonipa nguvu ni wa Lil Wayne ft Bruno Mars-"Mirror on the wall"
Sijawahi kuuchoka.
😍Wimbo wenye "nguvu" ya ajabu umefichua wimbo mwingine mzuri uliofichika kwa miaka miwili.
Ni ajabu sana! Kuona mdada katika Nyakati hizi kuwa na Upendo na Mungu, kwa kiwango hicho?Nimetega sikio. Sema jambo lako, Mkuu
Waswahili wanasema: "Tembea, uone!" Bado hujatembea, Mkuu. Kinadada wapo wengi sana nyakati hizi wanaompenda Mungu. Umeomba nikupe siri. Sio siri: Mimi nampenda Mungu kwa sababu Yeye alinipenda kwanza hata akamtoa Mwana wake wa pekee aje kutuokoa(Yn 3:16). Nilikuwa nimefungwa katika vifungo vya dhambi, lakini sasa Yesu ameniweka huru (Am set free!); na Yesu ameniahidi uzima na raha ya milele. Nikimuomba Mungu katika Jina la Yesu, ananipa mahitaji yangu. Nikiumwa ananiponya. Nikilima shamba anabariki mazao yangu. Nikifanya biashara ananipa wateja. Nikimkemea shetani na mapepo yake wanakimbia mbiooo! Nikihubiri, watu wanaokoka. Nikisafiri, ananilinda na kuniepusha na hatari nyingi... Kwanini nisimpende Mungu???Ni ajabu sana! Kuona mdada katika Nyakati hizi kuwa na Upendo na Mungu, kwa kiwango hicho?
Naomba kujua Siri ya upendo wako kwa Mungu (what's strengthen your fellowship with the Lord?
Nimeona wengi tu .... Kwenye kusanyiko la PT wengi ni wadada!Waswahili wanasema: "Tembea, uone!" Bado hujatembea, Mkuu. Kinadada wapo wengi sana nyakati hizi wanaompenda Mungu. Umeomba nikupe siri. Sio siri: Mimi nampenda Mungu kwa sababu Yeye alinipenda kwanza hata akamtoa Mwana wake wa pekee aje kutuokoa(Yn 3:16). Nilikuwa nimefungwa katika vifungo vya dhambi, lakini sasa Yesu ameniweka huru (Am set free!); na Yesu ameniahidi uzima na raha ya milele. Nikimuomba Mungu katika Jina la Yesu, ananipa mahitaji yangu. Nikiumwa ananiponya. Nikilima shamba anabariki mazao yangu. Nikifanya biashara ananipa wateja. Nikimkemea shetani na mapepo yake wanakimbia mbiooo! Nikihubiri, watu wanaokoka. Nikisafiri, ananilinda na kuniepusha na hatari nyingi... Kwanini nisimpende Mungu???
Naweza kuja PM ? Ili niletee Ajenda!Nipe ajenda. Napenda sana kuombea watu. Biblia inasema: "Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii."(Yak 5:16).
Utakuta mapema ukiwa unajichuruzia machozi mwenyew moyoni mixer BP +sukari jitahidi uteme nyongo mapema achana na masuala ya kizamani wwyah wape ushauri vijana ukikosa hela , ukiachwa ,ukipata changamoto songa mbele huku ukitabasamu.
machozi ya wanaume yanachuruzika moyoni sio machoni