Wimbo huu............!!

Afu Askofu akiamka umuulize kama huu wimbo una hadhi ya kuimbwa kanisani....i. OK?

:nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:

Is it only a monday??:argue:

:welcome:


Umeulizwa??..:mmph:

Askofu bado amelala

😛ray:😛ray:😛ray::typing::typing::typing::typing::ranger::ranger::ranger:

aah wapi, niulize mimi mkuu... kuna mbu balaa

Inampasa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu.....anyways damu yako i juu ya mikono yetu...hadi wajukuu,,,,,lakini kwa kuwekwa kwako keko sisi TUMEPONA>.....:biggrin1::biggrin1::biggrin1:

:fish2::fish2::fish2:
 
hebu kaifufue ile sredi yetu tujinoe tena na ushairi!
Tatizo uchakachuaji babu , watu wanachakachua usipime unawezajikuta hata bailoji yako imechachuliwa na kuwekewa ya mwingine- mi ctaki kabisa babu.
 
:nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:



:welcome:



Umeulizwa??..:mmph:



😛ray:😛ray:😛ray::typing::typing::typing::typing::ranger::ranger::ranger:





:fish2::fish2::fish2:

Habari yako hivi umelala kwenye kigango au gesti mbona umechoka kiasi hicho
 
Tatizo uchakachuaji babu , watu wanachakachua usipime unawezajikuta hata bailoji yako imechachuliwa na kuwekewa ya mwingine- mi ctaki kabisa babu.

Bora umestuka mapema! Manake waweza kuta umechakachuliwa ukapewa ya kichina. We wabaki washangaa kidume kikipita kusalimu baioloji, hakirudi tena kuijulia hali.
 
Tatizo uchakachuaji babu , watu wanachakachua usipime unawezajikuta hata bailoji yako imechachuliwa na kuwekewa ya mwingine- mi ctaki kabisa babu.

Hivi biolojia yako mtu ukiifanyia copyright wataichakachua?
 

Maty kama kweli wewe ni mwanamke na una msimamo huu, hongera sana kwa kuwa muelewa wa hili!!! lakini nahisi wewe ni mwanaume umeandika hivi!
 
Bora umestuka mapema! Manake waweza kuta umechakachuliwa ukapewa ya kichina. We wabaki washangaa kidume kikipita kusalimu baioloji, hakirudi tena kuijulia hali.
Sasa je!! Babu wachina wabaya bwana yaani wameharibu ladha nzima

We huoni hata ladha ya valuu siku hizi siyo kabisa... iko kama spirit vile
 
Sasa je!! Babu wachina wabaya bwana yaani wameharibu ladha nzima

We huoni hata ladha ya valuu siku hizi siyo kabisa... iko kama spirit vile

Thats name calling....You have been warned!
 
Habari yako hivi umelala kwenye kigango au gesti mbona umechoka kiasi hicho

Naanza kufunga rasmi kwa ajili ya kukuombea wewe Ze Finest, Mungu akusaidie... una matatizo makubwa sana... Shetani anakuchakachua...

Kama unamaanisha kuvua samaki basi we subiri ban....

...:ban:....Pole Samaki...:fish:....:banplease:

Hivi yule mkoloni alikuwa anafanya feasibility study jana pale FEA WEI

...:gossip:.... (kiherehere)
 
Naanza kufunga rasmi kwa ajili ya kukuombea wewe Ze Finest, Mungu akusaidie... una matatizo makubwa sana... Shetani anakuchakachua...



...:ban:....Pole Samaki...:fish:....:banplease:



...:gossip:.... (kiherehere)

Nataka tuombe na tufunge pamoja unajua kugawana hata kupeana ni kujali
 

Pole mpenzi uckasirike hii ndio hali halisi. Unajua hapa JF watu wako huru kuzungumza lolote kwani hatujuani kwa hiyo kila mtu anakuwa huru kuzungumza lililo moyoni mwake na wanaume wa humu JF ni watu na adabu zao tu mtaani pamoja na makazini mengi wanayoyazungumza humu kamwe hawawezi kuyazungumza mbele za watu ingawa yana ukweli ndani yake kwani unaweza shambuliwa na watu. Na nimejitahidi kufuatilia sana mazungumzo ya humu khs mahusiano nimegundua mwanaume kuwa na mwanamke mmoja ni kazi na hata kama wapo ni wachache sana wengi wana zaidi ya mmoja. Na ni kweli sisi wanawake pia tunapata vishawishi vingi tu uko nje ila kutokana na maumbile tunaweza kuvumilia lakini hawa wenzetu ni nadra sana kuvishinda vishawishi siwatetei ila hii ni hali halisi wanaume waaminifu ni 20 kwa mmoja
 
Ni kweli haivumiliki kaka but wapo pia kina mama wanaoshukudia matrimonial beds zao zikitumika kama uwanja wa rough je nao washindwe kuvumilia? Ninawaza tu kaka si kwamba ninataka kubishana !
unajua nadhani uwezo wa kusamehe wa mwanamke ni mkubwa kuliko mwanaume na pia wanawake wameumbwa na roho ya uvumilivu kuliko wanaume ndio maana wanaweza kubeba mimba mpaka kuzaa na kumlea mtoto kwa moyo wa upendo na kujinyima chochote ili mtoto akue ile ni roho ya kipekee sana
 
Maty kama kweli wewe ni mwanamke na una msimamo huu, hongera sana kwa kuwa muelewa wa hili!!! lakini nahisi wewe ni mwanaume umeandika hivi!

Mimi ni mwanamke mwaya nimejaribu kufanya uchunguzi humu humu JF na asilimia kubwa ya wanaume wanatetea hilo la kutokuwa na mwanamke mmoja na hawa wanaume wa humu JF ndio waume zetu, kaka zetu ambao tuko nao huko majumbani sasa uthibitisho gani tena nitafute?. Mimi wangu atoke tu atajijua mradi atimize mahitaji yote muhimu awe na wanawake kumi yeye tu mimi natulia zangu kwani hata wanachokitafuta huko nje saa nyingine hawakipati so najua mwisho wa siku anaweza kutulia akishamaliza mizunguko yake mi namuombea tu awe salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…