Wimbo wa Alikiba 'Mediocre' - Kweli kila zama na muda wake

Wimbo wa Alikiba 'Mediocre' - Kweli kila zama na muda wake

Hajuna anayeenda kwa diamond afu aende kwa Hilo likibamia lako.

Diamond fana are intelligent na sio MBUGIRA Kama wewe.

,#no Kiki no busta

tulia kwanza alistotee uandika vizuri,angalia sijui hata unatumia tecno gani???
 
Lazima akae kimya maana, ataki kutoa Busta kiba akafie mbele anataka bifu mseleleko tunamkwepa

Diamond platinumz BABA LAO.

#HATUTOI KIKI WALA BUSTA KWA KIBA APAMBANE NA UZEE WAKE WA 45+[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24][emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23].

busta gani mama??? mmekalia busta zenu na bado wimbo unatembea bila shida[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Utopolo ndo mzuri daaaaaah acha kuwa mtumwa wa fikra [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85]
Ni wazo langu mbona unakurupuka kunilazimisha kwenye msimamo wako ,, tumia akili wewe jF kila mtu ana mawazo yake. Usitangaze ujinga wako hadharani😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Kiba kamaliza interview EA radio planet bongo mida hii. Anaita mediocre 'hip hop'! mpaka anaemhoji kashtuka kamuuliza zaidi ya mara tatu hii ni 'hip hop'? Kajibu ndio!
Kiba bado anahitaji kujinoa kwenye mambo ya interviews. Maana kama hujui jina la kinyago ulichochonga mwenyewe ni kazi kweli!
Daaaaaah kweli ataendelea kuwa underground
 
Si kama na hate au nini ila inasikitisha. Akienda interview za nje itatia aibu sana. Management yake wamfundisha tu kwamba ile hakufanya hip hop! Aiite tu banga au something else!
Kweli na anasafari ndefu sana ya kujifunza kutoka kwa diamond platinumz
 
tulia kwanza alistotee uandika vizuri,angalia sijui hata unatumia tecno gani???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe zabibu kiba na Mimi Nani atulie na kuandika vizuri...? Na nani anatumia Tecno...? [emoji23][emoji23][emoji23]

Makosa yako haya kayarekebishe ndo uje humu.
✓Aristote sio alistotee
✓Uandike sio uandika

Sawa dogo Rudi nikupe za uso sawa.
 
busta gani mama??? mmekalia busta zenu na bado wimbo unatembea bila shida[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Diamond platinumz The G. O. A. T[emoji881][emoji881][emoji881]

AMESEMA WEWE MAMA ZABIBU KIBA KUWA NO KIKI NO BUSTA ROUND HII[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji24][emoji24][emoji24]
eti nyimbo inatemeba kweli wewe ni MBUGIRA Tena kiwango Cha PHD, HD NA SGR.

LINYIMBO LIBAYA KAMA UTOPOLO FC
 
Back
Top Bottom