Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili suala la wimbo wa Diamond Platnumz kuchezwa na Chris Brown linadhihirisha ni kwa kiasi gani hii nchi ina maajabu ulimwenguni.
Yani leo kila sehemu unayopita ni Chris Brown kampost Diamond SMHO.
Yani Chris Brown leo ametukuzwa kila mahali, kiasi kwamba Chris akijua kinachoendelea hapa Tzzz basi atacheza na wimbo wa Disconnect.
Bila kusahau atacheza na wimbo wa Hakuna matata, akimaliza atacheza tena wimbo wa SENSEMA.
Akimaliza kucheza hizo nyimbo atacheza wimbo wa ANAUPIGA MWINGI.
Ni huyu Chriss Brown aliyecheza nyimbo ya Missomisondo?Kila siku nasema hapa..
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Ni huyu Chriss Brown aliyecheza nyimbo ya Missomisondo?