Bili nitalipa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Upo wap unapata moja Barid moja moto
Waiter zungusha tena..!!![emoji481] [emoji481] [emoji481]
MKUU mimi pia napenda mdundoPersonally napenda mdungo tu! Nna uhakika kuna wengine wanapenda kwa sababu hii
kaka kwenye verse ya kwanza wewe umeelewa nini?
Wametumia tafsida , wangetumia maneno yanayoeleweka waziwazi ingekuwa tatizo. Kama ww umefanikiwa kuelewa ni ww, ila wengi sana hawajaelewa wanafurahia midundo. Punguza munkari kijana[emoji3]Umesikiliza Salome (Diamond ft. Rayvanny) lakini? Huo wa Man Fongo una afadhali kidogo..
Nimeuelewa ndo maana nikasema huu wa Man Fongo una afadhali.. Aliyeelewa kama mimi atajua namaanisha nini [emoji1][emoji1]Wametumia tafsida , wangetumia maneno yanayoeleweka waziwazi ingekuwa tatizo. Kama ww umefanikiwa kuelewa ni ww, ila wengi sana hawajaelewa wanafurahia midundo. Punguza munkari kijana[emoji3]
Duh ndio sound zote hizo?😀Man Fongo natamba,
Mtaalamu wa kuulamba,
Nguo za mitumba,
Nitaendelea kutamba January mpaka December,
Natamba natamba we mwenyewe si unajua,
Na kama nyota haing'ai si unajua,
Wanapakaziana maneno wanaponda,
Maneno maneno hanizushii vidonda,
Napata misaa na dili za uswazi,
Naamini kigodoro hii ndo yangu kazi,
Na binadamu bwana,
Ukikaa nao hawaishi kukusifia,
Ukiwapa kichogo kwa nyuma wanakandia,
Kwani bado hujajua,
Kama unajua na inabidi kuwazoea,
Kama unajua na inabidi kuwazoeaaaa.
Mimi nilivyoelewa jamaa hapo anabrag, kwa nini leo ni zamu yake!
Mambo gani haya bhana, ushanifanya nimsikilize tena Salome wakati nilishampa break tangia juzi!Msambwanda Ndio Nini?
Mpododo sheikh wangu [emoji23][emoji23]Msambwanda Ndio Nini?
Je chura ina maana gan
Alaf we jamaa kila siku lazima unywe bia duh aya buanaUpo wap unapata moja Barid moja moto
Waiter zungusha tena..!!![emoji481] [emoji481] [emoji481]
Msambwanda Ndio Nini?
NdioJe verse na chorus zina connection?