Wimbo wa Hainaga ushemeji umenishangaza

Wimbo wa Hainaga ushemeji umenishangaza

Attachments

  • Matako Makubwa.jpg
    Matako Makubwa.jpg
    39.6 KB · Views: 380
kaka kwenye verse ya kwanza wewe umeelewa nini?

Man Fongo natamba,
Mtaalamu wa kuulamba,
Nguo za mitumba,
Nitaendelea kutamba January mpaka December,
Natamba natamba we mwenyewe si unajua,
Na kama nyota haing'ai si unajua,
Wanapakaziana maneno wanaponda,
Maneno maneno hanizushii vidonda,
Napata misaa na dili za uswazi,
Naamini kigodoro hii ndo yangu kazi,
Na binadamu bwana,
Ukikaa nao hawaishi kukusifia,
Ukiwapa kichogo kwa nyuma wanakandia,
Kwani bado hujajua,
Kama unajua na inabidi kuwazoea,
Kama unajua na inabidi kuwazoeaaaa.



Mimi nilivyoelewa jamaa hapo anabrag, kwa nini leo ni zamu yake!
 
Umesikiliza Salome (Diamond ft. Rayvanny) lakini? Huo wa Man Fongo una afadhali kidogo..
Wametumia tafsida , wangetumia maneno yanayoeleweka waziwazi ingekuwa tatizo. Kama ww umefanikiwa kuelewa ni ww, ila wengi sana hawajaelewa wanafurahia midundo. Punguza munkari kijana[emoji3]
 
Uwepo wa shilole(shishi baby) kwenye video umesaidia sana kupromote nyimbo ya hainaga ushemeji
 
Wametumia tafsida , wangetumia maneno yanayoeleweka waziwazi ingekuwa tatizo. Kama ww umefanikiwa kuelewa ni ww, ila wengi sana hawajaelewa wanafurahia midundo. Punguza munkari kijana[emoji3]
Nimeuelewa ndo maana nikasema huu wa Man Fongo una afadhali.. Aliyeelewa kama mimi atajua namaanisha nini [emoji1][emoji1]
 
Man Fongo natamba,
Mtaalamu wa kuulamba,
Nguo za mitumba,
Nitaendelea kutamba January mpaka December,
Natamba natamba we mwenyewe si unajua,
Na kama nyota haing'ai si unajua,
Wanapakaziana maneno wanaponda,
Maneno maneno hanizushii vidonda,
Napata misaa na dili za uswazi,
Naamini kigodoro hii ndo yangu kazi,
Na binadamu bwana,
Ukikaa nao hawaishi kukusifia,
Ukiwapa kichogo kwa nyuma wanakandia,
Kwani bado hujajua,
Kama unajua na inabidi kuwazoea,
Kama unajua na inabidi kuwazoeaaaa.



Mimi nilivyoelewa jamaa hapo anabrag, kwa nini leo ni zamu yake!
Duh ndio sound zote hizo?😀
 
Back
Top Bottom