Wimbo wa Hainaga ushemeji umenishangaza

Ndo wasanii wetu walivo....kuna wanaobana pua had husikii anaimba nn..wengine wanakusanya maneno yasiyo na maana ilimrad kupata rhyme...tunasikia chorus au labda na hizo bits..wabongo fleva wabadilike sasa..wafate kanuni za uimbaji!!!
 
Mimi pia huwa nasikia kelele tu, sasa nikiona vijana wanavyowehuka na huo wimbo ndio naamini kweli nishazeeka!

Ha ha ha, uzee tayari mkuu.

Siku moja niko home mwanangu wa miaka 5 anaimba wimbo siuelewi, kuuliza nikaambiwa ni Chafu Pozi, ikabidi niingie youtube ndo kuuona wimbo.

Uzee haupigi hodi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…