Wimbo wa Hainaga ushemeji umenishangaza

Wimbo wa Hainaga ushemeji umenishangaza

Hii photoshop... Hicho kikaptura hakiwezi pita hapo
 
Hainaga ushemeji ya ManFongo ni wimbo uliobamba sana kwenye hizi nyakati za Tanzania ya wazinzi. Cha ajabu nilikuwa nasikilizaga chorus tu sijawahi kuconcentrate kusikiliza verse zake, jana wakati nimetulia napata moja moto moja baridi nikawa nasikiliza mstari mmoja baada ya mwingine, nikashangaa sana kumbe verse na chorus havina mahusiano kabisa.

Kwenye chorus anazungumzia kitu kingine, verse vitu vingine sasa nikajiuliza huu wimbo umetambaje na kwanini watu wengi wamekomalia kwenye chorus tu au ndo mwisho wetu wa kufikiri ulipoishia? Maana nilichogundua tukiuliza watu 10 waliousikiliza wimbo huo uenda ni mtu mmoja tu anaweza akawa ameelewa verse zinazungumzia nini.

Alichokifanya ManFongo ni kama kwenye kichwa cha habari cha gazeti kiandikwe kuhusu Tetemeko la Kagera halafu kwenye content waelezee kuhusu msambwanda wa Wema Sepetu.

Mziki una lugha yake mkuu ukitaka message nenda kasome biblia, ndio maana hata coffi olomide aliimba kuhusu selfie na kuisha '' pga picha, kwa piga tena kwa, haijatok.... tumeona wanamziki weng sana wenye mesaage kama muumini walivyoishia kupotea, mziki wa salome unamaana gani , lakini viewers 2.5mil sasa.... unataka mnessage soma vitabu
 
Mi napata mashaka sana na wapenzi wa singeli...ni watu wa ajabu ajabu tu....ndio
 
Hivyo wanasikiliza wanaobarehe tu, mtu mzima utasikiliza hizo kelele upate kionjo gani humo?
 
😀 😀 😀 😀 😀 😀 wewe huoni wanaoshabikia Walivyo ! kama RAIS wao yule KICHEKO yaani daah ! HATARII
 
Singeri generaly ni mzk wa wauni ndyo maana ata majina yao yana sadifu kma "man fongo.Sholimwamba.Nijaboy" sasa unazan ww apo utaerew Nn[/QUOTE

Steve shemeji huu mwandiko wako unaonekana na wewe ni dugu moja na hawa jamaa
 
Huo ni wimbo wa kizazi cha mwendokasi hahna tofauti na Salome uliotoka juzi!!
Nyimbo za siku hizi ilimradi tu hakuna ujumbe kabisa cha muhimu ni beat linachezeka!!
 
Back
Top Bottom