joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Huu ndio Uhuru wa kujieleza huko Kenya?, jamaa anawindwa kama digidigi, sasa hivi hana uhakika na maisha yake, kama ilivyo kwa Alfred Mutua. Kenya inaongoza ktk political assassinations ktk ukanda huu, haiwezi kuwa na freedom of expression.
Umeamua kuungalia upande mmoja ukipuuza mwingineHuu ndio Uhuru wa kujieleza huko Kenya?, jamaa anawindwa kama digidigi, sasa hivi hana uhakika na maisha yake, kama ilivyo kwa Alfred Mutua. Kenya inaongoza ktk political assassinations ktk ukanda huu, haiwezi kuwa na freedom of expression.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sisemi kuhusu DCI, ninazungumzia kuhusu vitisho anavyopata toka kwa watu na viongozi serikalini, kama ilivyo kwa Alfred Mutua kutishiwa na DP- Rutto, huo ndio Uhuru gani?, mtu akisema kitu maisha yake yanakua hatarini?Umeamua kuungalia upande mmoja ukipuuza mwingine View attachment 1295033DCI Kenya wamesema they never summoned Mr Rabbit!
Dude please uhuru wetu wa kujieleza huwezi linganisha na nchi za EA! Ulisema mwenyewe anawindwa kama digidigi.Mimi sisemi kuhusu DCI, ninazungumzia kuhusu vitisho anavyopata toka kwa watu na viongozi serikalini, kama ilivyo kwa Alfred Mutua kutishiwa na DP- Rutto, huo ndio Uhuru gani?, mtu akisema kitu maisha yake yanakua hatarini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeamua kuungalia upande mmoja ukipuuza mwingine View attachment 1295033DCI Kenya wamesema they never summoned Mr Rabbit!
Mbona unatoka nje ya mada?, tunachuzungumzia ni vitisho anavyopata King Kaka baada ya kutuo huo wimbo wake, huo Uhuru wa kujiekeza upo wapi ikiwa watu wanaozungumza ukweli wanatishiwa maisha na wengine kufurushwa nchini kwa nguvu kama Miguna Miguna?Dude please uhuru wetu wa kujieleza huwezi linganisha na nchi za EA! Ulisema mwenyewe anawindwa kama digidigi.
Nitajie watu ambao Kenya wameuawa huu mwaka kwa sababu za Kisiasa kwa vile umesema tunaongoza ukanda huu..
Mbona ameitwa huko kwa mahojiano khsu hyo nyimbo yake na serikaliHongera King Kaka, haki na uhuru wa kujieleza Kenya sio level ya Afrika, kuna baadhi ya shitholes msanii akifanya alichokifanya huyu Kinga Kaka anatoweka, watu wasiojulikana wanamtembelea usiku.
Kuna huyu msanii alithubutu Tz, ila yalimkuta ya kumkuta
Kenya kwenyewe ashaanza kutishwaaNoma sana.
Acha kuoneshaa kama mko salamaWatanzania wanatumia nguvu nyingi sana kutushusha tuonekane kama tupo kwenye level yao huko kwenye matope.
Huyu Mr. Rabbit hajaagizwa kufika kwa ofisi za DCI, na pia ni mwanasiasa mmoja tu ambaye amejitokeza hadharani kuonyesha kukerwa na huo wimbo, dada Waiguru, ambaye amesema atatumia mbinu za kikatiba kupambana na huyo msanii.
Ndivyo ilivyo kwa nchi ambazo huongozwa kwa utawala wa kisheria na katiba, ukiona umekerwa na mtu, unatumia mbinu za kikatiba kupambana naye, sio shithole ambao kwao mtu anatekwa na kutoweka kisa kashutumu utawala pale wanaibia wananchi hela za umma.
Kenya tupo kwenye level tofauti sana, yaani ukanda huu hamna wa kujifananisha na sisi, wamguse huyu Rabbit waone kitakavyonuka, wengi huwa tunashabikia mazuri ya serikali kiuzalendo, lakini ikifanya madudu lazima yasemwe na kukosolewa.
Lakini kwa wenzetu, mapambio kwa kwenda mbele, WanaCCM hushabikia risasi alizopigwa Lissu.
Hao watu wenye slow thinking sio lazma wawe na chama, kwanini unajiegemeza kwenye uchama chama???,,Hiyo milango yenu mnabeef security hamuwezi hata kunikubalia hodi, ...” hiyo mistari imenigusa sana, hata hapa TZ kuna watu wajinga kama huyo Wanjiku hasa chadema followers wanashangilia na kumpigania Muzungu alipwe wakati hawapati hata shilingi, na hata wakionekana kwenye geti la Fatuma Karume au Tundu lisu ambao wako kwenye payroll ya huyo Muzungu watafukuzwa na watchman kama mbwa mwitu.
Nimeipenda hii flow, inawahusu slow thinking chadema followers.
Umemshugulikia ipasavyoooo huyoHao watu wenye slow thinking sio lazma wawe na chama, kwanini unajiegemeza kwenye uchama chama???
Upumbavu au ujinga hauna chama, hauna makazi maalumu iwe Lumumba ama Chimwaga, popote yoyote anaweza akawa na fikra finyu, mmoja wapo ni wewe mwenye poor thinking.
Umeamua kuungalia upande mmoja ukipuuza mwingine View attachment 1295033DCI Kenya wamesema they never summoned Mr Rabbit!
Anayepotea mada ni wewe, bado hujanitajia watu waliouawa mwaka huu kwa sababu ya kujieleza, baada ya kusema Kenya tunaongoza ukanda huu kwa political assassinations?Mbona unatoka nje ya mada?, tunachuzungumzia ni vitisho anavyopata King Kaka baada ya kutuo huo wimbo wake, huo Uhuru wa kujiekeza upo wapi ikiwa watu wanaozungumza ukweli wanatishiwa maisha na wengine kufurushwa nchini kwa nguvu kama Miguna Miguna?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mwenyewe King Kaka abaposema maisha yake yapo hatarini kwa sababu ya kupokea vitisho ni muongo?, na Miguna Miguna anaposema serikali imekataa kumrudishia passport yake pia ni muongo ila wewe ndio mkweli?Anayepotea mada ni wewe, bado hujanitajia watu waliouawa mwaka huu kwa sababu ya kujieleza, baada ya kusema Kenya tunaongoza ukanda huu kwa political assassinations?
Msanii King Kaka hakuna aliyemtishia maisha yake. Waiguru aliyekerwa amesema atafuata njia ya Mahakama.
As for Miguna tayarisha Passport yako njoo JKIA kumlaki, January 11 anarudi nyumbani! Remember the court ruled in his favour?
Anayepotea mada ni wewe, bado hujanitajia watu waliouawa mwaka huu kwa sababu ya kujieleza, baada ya kusema Kenya tunaongoza ukanda huu kwa political assassinations?
Msanii King Kaka hakuna aliyemtishia maisha yake. Waiguru aliyekerwa amesema atafuata njia ya Mahakama.
As for Miguna tayarisha Passport yako njoo JKIA kumlaki, January 11 anarudi nyumbani! Remember the court ruled in his favour?
Mbona unachagua zipi hoja za kujibu ukipuuza zingine?Kwahiyo mwenyewe King Kaka abaposema maisha yake yapo hatarini kwa sababu ya kupokea vitisho ni muongo?, na Miguna Miguna anaposema serikali imekataa kumrudishia passport yake pia ni muongo ila wewe ndio mkweli?
Sent using Jamii Forums mobile app