Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #21
π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯ππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯ππππππππ
Nmeona Bongo movie wanampongeza kwa waheshimisha kwa kucheza ile movie. Eti wanadai kawapeleka kimataifa. Nimecheka sana akina steve nyerere wana masters za uchawa π€£π€£
Mkuu link tafadhali kizuri kula na nduguzo chief...!
π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯ππππππππ
Siasa ni WATU....View attachment 2198746View attachment 2198747hii nchi machawa wana nguvu sana na ina vituko.
Mimi ningekuwa raisi ningejua kabisa hawa wananipamba wanipige tu
Sikatai ila sio uunge vitu ili mradi hawa wanataka kumjaza wampige eti kawaheshimisha bongo movie. π€£π€£π€£Siasa ni WATU....
Bila ya WATU....
Bila ya WAUNGA MKONO na kusimama vyema na kiongozi huwa hakuna SIASA IMARA....kwani binadamu tunasahau haraka.....
Binadamu tunasahau mazuri mno sembuse machache ya muda mfupi?!!!
Ni lazima TUKUMBUSHWE...
Ni lazima TUKUMBUSHANE uadhimu wa Tanzania na viongozi wetu wakubwa πͺ
#Siempre JMTπ
#Siempre SSHπ
Sio kukubali kupigwa...Sikatai ila sio uunge vitu ili mradi hawa wanataka kumjaza wampige eti kawaheshimisha bongo movie. π€£π€£π€£
Kwakweli ukiwa na watu wanakusifu sifu hata kwa kuunda unda vitu kuwa makini naoSio kukubali kupigwa...
Sio kumpiga......
Siasa ni watu kaka....
Unataka kusema TAKRIMA ni rushwa?!!! π³π€£π€£
Mh.Rais SSH ni mwanasiasa nguli...amehudumu ujumbe ndani ya KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM kwa miaka zaidi ya 21....si mwepesi hataaa π₯π₯