Tetesi: Wimbo wa ndege yetu ile pale ilikuwa fedheha na aibu kwa taifa

Walikua nzi wa kijani hao ndegeeeeeee yetu ile ndegeeeee yetu inatua si ndivyo
 
Balozi wa Canada ambako ndege hiyo imetengenezwa, naye alikuwepo uwanjani anaimba, kufurahia mafanikio ni jambo jema, stress za matatizo yako usizihamishie kwenye ndege. Ni lini Tanzania imekuwa na Airbus?, Huko Kenya na Rwanda wana airbus ngapi??, uchawi ni kulia wakati wenzio wanacheka. Yaani Katiba mpya itazuia watu kufurahia mafanikio?, Na baaaado, tutaimba sana na kucheza tukizindua Strigers Gorge na SGR na Interchange ya Ubungo na njia nane za morogoro road, mtalia sana awamu hii, enyi wazadiki na vibaraka wa mabeberu
 
Huo
Huo mjina tu team jpm Sina hamu ya kukujibu
 
Ni matumizi mabaya ya muda wa Rais! Yaani alivyo selfish, muda wote yupo kwenye "campaign mode" tu. Wengine wote kawazuia.
 
BAVICHAA KATIKA UBORA WAO, HATA VISIVYO NA MANTIKI KWA JAMII YETU WATAVILAZIMISHA TU VIONEKANE VINA UMUHIMU.

MAGUFULI KAZA TU HADI 2045, SO WAENDELEE TU KUWA WAPOLE NA NJAA ZAO HUKO UFIPANI.


povu..maherufi makubwa hvyo unatuchosha sie..pumbaless
 
Yaani denge hadi rais anatoka ikuli.. mimi niliwaza kuwa hawa jamaa walioitengeneza wametuona washamba sana huku wao ni kitu kidogo tu
Nchi zilizoendelea zinapotaka kuangalia comedy huwaga zinafuatilia matukio ya serikali ya tanzania ...

Haya matukio ya kuipokea ndege nakufanya sherehe nadhani ndio huwaga yana wavunja mbavu Sana
 
Ndiyo ni ndege yetu na wala sio ya kwao.

Wewe umekaa humu unakenua macho kuiponda viongozi wako watakuwa Wa kwanza kuipanda wewe endelea na kazi yako ya usukule uliopewa kufanya mana huna namna.
 
Kilichokuuma ni nini?
 
Unashangaa hilodogo, Kama watu waliimba atimenengule bunge lakatiba. Unashangaa hilo
 
Kaclip basi na mimi nione
 
Yalivyo mabogus hata hayajui ghalama za hiyo ndege!!
 
NdriiiiiiiiiiiiiiiiiChaaaaaa, mmemuona rais wetu huyu hapa,mmeiona ndege yetu ile pale ndriiiiiiiiiiiiicha ile pale ndege yetu

NB: fao la kujitoa private sekta..............................
 
Hii ni aibu ya karne.

yani serikali nzima inakata viuno kushangilia ndege jamani???

hadi jaji mkuu masikini amechezeshwa singeli.
 
Hii ni aibu ya karne.

yani serikali nzima inakata viuno kushangilia ndege jamani???

hadi jaji mkuu masikini amechezeshwa singeli.
Aibu tumeona cc aisee eti spika makam wa rais waziri mkuu jaji mkuu mkuu WA majeshi mkuu WA usalama yani doh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…