Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Walikua nzi wa kijani hao ndegeeeeeee yetu ile ndegeeeee yetu inatua si ndivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mjina tu team jpm Sina hamu ya kukujibuBalozi wa Canada ambako ndege hiyo imetengenezwa, naye alikuwepo uwanjani anaimba, kufurahia mafanikio ni jambo jema, stress za matatizo yako usizihamishie kwenye ndege. Ni lini Tanzania imekuwa na Airbus?, Huko Kenya na Rwanda wana airbus ngapi??, uchawi ni kulia wakati wenzio wanacheka. Yaani Katiba mpya itazuia watu kufurahia mafanikio?, Na baaaado, tutaimba sana na kucheza tukizindua Strigers Gorge na SGR na Interchange ya Ubungo na njia nane za morogoro road, mtalia sana awamu hii, enyi wazadiki na vibaraka wa mabeberu
BAVICHAA KATIKA UBORA WAO, HATA VISIVYO NA MANTIKI KWA JAMII YETU WATAVILAZIMISHA TU VIONEKANE VINA UMUHIMU.
MAGUFULI KAZA TU HADI 2045, SO WAENDELEE TU KUWA WAPOLE NA NJAA ZAO HUKO UFIPANI.
umeona eh..linasulubika na maisha lakini kutwa kulamba assHuo
Huo mjina tu team jpm Sina hamu ya kukujibu
Jibu hoja " kwamba ni Aibu au sio Aibu ... ?Acha watu wafurahi, wewe ulitaka walie na kuomboleza?
PAMBANA NA HALI YAKO kijana.
Nchi zilizoendelea zinapotaka kuangalia comedy huwaga zinafuatilia matukio ya serikali ya tanzania ...Yaani denge hadi rais anatoka ikuli.. mimi niliwaza kuwa hawa jamaa walioitengeneza wametuona washamba sana huku wao ni kitu kidogo tu
HahaaTuwekeeni video nasi tuwaone hao kima jamani
Yaani ni aibu sana kwakweli ... ila ina bidi uzoee tu..kwani sifa ya wasukuma hauijui !!?IPO viral mitandaoni wanaoweza wataiweka yani ni aibu
Ptuuuu ..Imekuwa utadhani ndiyo mara ya kwanza nchi kuwa na ndege!Total shame!Ptuuu...!
Kilichokuuma ni nini?Jamani niseme ukweli siku ile ndege ya airbus ilivyotua jkna huku serikali nzima ikikata viuno eti kuimbia ndege lilikuwa ni jambo la fedheha na aibu kubwa mno kwa taifa
eti wanaimba ndege yetuuuu ile paleeee ndege yetuuu tunaiona ile paleeeee ndeeegeee yetuuuu ile pale jamani naangalia Hii video mpk naona aibu kuitazama baada ya hapo viongozi wakaingia ndani eti kuishangaa ndege uwiiiiiiiiiiiiiiiii awamu ina vituko hii yani serikali nzima inacheza ngoma kisa ndege hakika tumerudi nyuma mnooooo hivi na Nyerere aliyeacha 14 boengs nayeye aliyafanya haya?
natafakari kwa aibu!!!
Unashangaa hilodogo, Kama watu waliimba atimenengule bunge lakatiba. Unashangaa hiloJamani niseme ukweli siku ile ndege ya airbus ilivyotua jkna huku serikali nzima ikikata viuno eti kuimbia ndege lilikuwa ni jambo la fedheha na aibu kubwa mno kwa taifa
eti wanaimba ndege yetuuuu ile paleeee ndege yetuuu tunaiona ile paleeeee ndeeegeee yetuuuu ile pale jamani naangalia Hii video mpk naona aibu kuitazama baada ya hapo viongozi wakaingia ndani eti kuishangaa ndege uwiiiiiiiiiiiiiiiii awamu ina vituko hii yani serikali nzima inacheza ngoma kisa ndege hakika tumerudi nyuma mnooooo hivi na Nyerere aliyeacha 14 boengs nayeye aliyafanya haya?
natafakari kwa aibu!!!
Kaclip basi na mimi nioneJamani niseme ukweli siku ile ndege ya airbus ilivyotua jkna huku serikali nzima ikikata viuno eti kuimbia ndege lilikuwa ni jambo la fedheha na aibu kubwa mno kwa taifa
eti wanaimba ndege yetuuuu ile paleeee ndege yetuuu tunaiona ile paleeeee ndeeegeee yetuuuu ile pale jamani naangalia Hii video mpk naona aibu kuitazama baada ya hapo viongozi wakaingia ndani eti kuishangaa ndege uwiiiiiiiiiiiiiiiii awamu ina vituko hii yani serikali nzima inacheza ngoma kisa ndege hakika tumerudi nyuma mnooooo hivi na Nyerere aliyeacha 14 boengs nayeye aliyafanya haya?
natafakari kwa aibu!!!
Yalivyo mabogus hata hayajui ghalama za hiyo ndege!!ndeeeeeeegeeee yetuuuuuuu ile paleeeeeee yani Rwanda Kenya Ethiopia wakiangalia ile video jamaa zangu wanasema wanacheka mpk wanazimia jamaa yangu yupo kisumu haamini kabisa kwamba tuliimba ndeeeeeegeeee yetuuuuuu ile paleeeeee ndeeeeeegeeeee yetuuuuu
Nairobi imegeuka comedi wakiona hata mbayu wayu wanaimba ndeeeeegeeee yetuuuuuu kutukebehi
dah ngoja nimalizie kwa hiki kionjo ndeeeeeeeegeeeee yetuuuuu
Aibu tumeona cc aisee eti spika makam wa rais waziri mkuu jaji mkuu mkuu WA majeshi mkuu WA usalama yani dohHii ni aibu ya karne.
yani serikali nzima inakata viuno kushangilia ndege jamani???
hadi jaji mkuu masikini amechezeshwa singeli.