makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Hahahah 🤣 Raissssssssss wa Majobless PromaxUme rogwa wee 😂 🤣
Salute
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah 🤣 Raissssssssss wa Majobless PromaxUme rogwa wee 😂 🤣
Last time kwenda msikitini sikumbuki 😂😁, huko kanisani ndo kabisaHahahah 🤣 Raissssssssss wa Majobless Promax
Salute
Nzuriikuna maswali mnatakiwa muulizwe kwanza!, mnapenda tamu ama isiyo tamu, mnapenda red,rose ama white mnapenda sparkling ama isiyo sparkling..?
sasa huo muongozo ndo utaenda kuchanganyua nini muambiwe vilevile yenye kilevi ama ambayo haina kilevi..?
Hamna kituDodoma wine
are wine with gas also champagne has gasSparkling ni Nini Mkuu? Mficha ujinga, ushamba humuumbua
hii sio wine ni brandy japo brandy inatengenezwa na zabibu piaHennesy V.S.O.P
usiseme tu nzuri bado haujachagua nilivyoelekezaNzurii
k vant ni gin na konyagi ni rum sio wine hizo zoteK can't au konyagi
Ukishaona unaanza kutafuta vitu vya kunywa ili upate hamu ya "kumfurahia mchumba" ujue tayari mambo yameshaanza kwenda arijojo.Wengi hamjapatia zote nimezitumia hakuna kitu haipo haikupi hamu yakumfurahia mchumba
😂Jamani Sina hamu nayo🙌
Ni kuchekacheka tu na wanafunzi kitu ulikunywa Jana🚮
Huenda una kiwango kikubwa Cha stress which is okay sometimes maana si mtu mzimaWengi hamjapatia zote nimezitumia hakuna kitu haipo haikupi hamu yakumfurahia mchumba
Kvant inapoteza kumbukumbu hakuna kitu utakumbukaK can't au konyagi
Umetumia four counsin?Wengi hamjapatia zote nimezitumia hakuna kitu haipo haikupi hamu yakumfurahia mchumba