T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana wewe huwa unatumia condom za misaada?Kabla Ya Wine
Unajua Kama Trump Kapiga Ban Misaada ?
Hakuna Kondom Hakuna Arv
Sasa We Jichanganye Ukimwi Wa Kutiwa Kwenye Mfuko Wa Rambo Unarejea.
Hivi amarula ni wine right?Nasikia Amarula,white wine kwa wadada...wanaume sijui.
Wine siyo bia, siyo kinywaji cha kunywa nyingi kama bia.Imagi ukipiga vya kutosha kichwa inakaa sawa 🐼
Amarula ni kama popo hivi, ipo kwenye wine na ipo kwenye spirit.Hivi amarula ni wine right?
cream liqueur siyo wine ila inaleta sana hisiaHivi amarula ni wine right?
Nimekupata vyema mkuu..Amarula ni kama popo hivi, ipo kwenye wine na ipo kwenye spirit.
Cream wanayochanganya ndio inafanya inashindwa kueleweka lakini Marula ni mti wanaopenda tembo kula majani yake.
Aisee, hisia gani mkuu?cream liqueur siyo wine ila inaleta sana hisia
Hizo hizo unazofikiria 🤣🤣🤣🤣Aisee, hisia gani mkuu?
Ni kwa wanawake tu? ama wanaume pia?Hizo hizo unazofikiria 🤣🤣🤣🤣
WanawakeNi kwa wanawake tu? ama wanaume pia?
Kunywa gin changanya na Amarula achana na vumbi la congo, hiyo inasafisha vizuri mishipa ya damu na utamfikisha mdada safari yake popote aendako bila kuchoka.Ni kwa wanawake tu? ama wanaume pia?
Dah, sijawahi kusikia hii research! 😂 Ina maana Amarula ni zaidi ya kinywaji?Wanawake
Na kwa wanaume pia, lakini lazima umix na gin for good resuts.Wanawake
Aisee, Duh, kwa hiyo gin na Amarula ni GPS ya safari ya mdada? 😂 Mtaani kuna research nyingi sana!Kunywa gin changanya na Amarula achana na vumbi la congo, hiyo inasafisha vizuri mishipa ya damu na utamfikisha mdada safari yake popote aendako bila kuchoka.
Ssfari kubwa na konyagi.....Kwa wasiopendana wine yao ipo?
Mkuu nakuona unavyosubiri jibu kwa hamu sana ili ukatestAisee, Duh, kwa hiyo gin na Amarula ni GPS ya safari ya mdada? 😂 Mtaani kuna research nyingi sana!
Kwa hio gin ya aina gani hapo inahitajika kiongozi, i mean brand..
Umejuaje, hapa hata kope sipepesi..Mkuu nakuona unavyosubiri jibu kwa hamu sana ili ukatest
Dokita Wa MchongoIna maana wewe huwa unatumia condom za misaada?
Rough rider ni condom za msaada? Pakti ya condon ni shilling elfu tatu tu, usicomplicate maisha.
Halafu kuna jelly nyingi tu za kulainisha mambo watu wanacheza game smart and safe, acha kutishatisha watu.
Ogopa cancer na figo brah, ukimwi umepewa kick tu na business tittle.