Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Konyagi, K- veve.Aisee, Duh, kwa hiyo gin na Amarula ni GPS ya safari ya mdada? 😂 Mtaani kuna research nyingi sana!
Kwa hio gin ya aina gani hapo inahitajika kiongozi, i mean brand..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Konyagi, K- veve.Aisee, Duh, kwa hiyo gin na Amarula ni GPS ya safari ya mdada? 😂 Mtaani kuna research nyingi sana!
Kwa hio gin ya aina gani hapo inahitajika kiongozi, i mean brand..
No.Hivi amarula ni wine right?
Mh! amarula ni liqueur sio wine pombe zinakuwa classified kutokana na inatengenezwa na nini, wine kwa wingi zinatengenezwa na zabibu(grapes), sikuhizi kidogo ndo wameanza Kutengeneza na apple japo si nyingi!.Amarula ni kama popo hivi, ipo kwenye wine na ipo kwenye spirit.
Cream wanayochanganya ndio inafanya inashindwa kueleweka lakini Marula ni mti wanaopenda tembo kula majani yake.
Umeleta kitu cha nzela sio, kwa waruuuuuuuuh 😂😂😂😂pateni kitu cha banana wine.
View attachment 3239943
Hisia gani tena ?cream liqueur siyo wine ila inaleta sana hisia
Hizo hizo unazowaza MkuuHisia gani tena ?
mkuu umeshindwa kuelezeaHizo hizo unazowaza Mkuu
Nimeshalewa nitarudi baadae 🤣🤣mkuu umeshindwa kuelezea
Mkuu leo si jumatatu au ? Hahaha ila mjini bwanaNimeshalewa nitarudi baadae 🤣🤣
Mkuu zifafanue basi hizi wine red, rose and white zinakuwaje, tamu sijui sparkling ni vitu gani hivi?kuna maswali mnatakiwa muulizwe kwanza!, mnapenda tamu ama isiyo tamu, mnapenda red,rose ama white mnapenda sparkling ama isiyo sparkling..?
sasa huo muongozo ndo utaenda kuchanganyua nini muambiwe vilevile yenye kilevi ama ambayo haina kilevi..?
Nimejifunza kitu kipya mkuuNo.
Mh! amarula ni liqueur sio wine pombe zinakuwa classified kutokana na inatengenezwa na nini, wine kwa wingi zinatengenezwa na zabibu(grapes), sikuhizi kidogo ndo wameanza Kutengeneza na apple japo si nyingi!.
Liqueur ni spirits ambazo zinakuwa zimetiwa radha na mara nyingi huwa ni tamu!. ndo hizo amarula, triple sec n.k
ila liquor ni spirits hizi hazina radha wala si tamu! ndo hizi vodka,rum, brandy n.k
hilo litakuwa ni darasa sasa!, lazima gharama zikutoke!Mkuu zifafanue basi hizi wine red, rose and white zinakuwaje, tamu sijui sparkling ni vitu gani hivi?
KvantJAmani naombeni msaada wakujua ni wine gani nzuri kwa wapenzi . Ambayo mtu na mtu wake wataenjoy