With over 2 mln Nairobians live in slums, shack houses stilll makes most of the houses

With over 2 mln Nairobians live in slums, shack houses stilll makes most of the houses

Geza Ulole

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
65,136
Reaction score
91,917

With over 2 mln Nairobians live in slums, shack houses stilll make most of the houses​


washing-hanging-out-a-corrugated-iron-shack-mathare-nairobi-kenya-mathare-is-a-collection-of-slums-in-north-east-of-central-nairobi-kenya-with-2B858YT.jpg
 
Haya ni baadhi ya maeneo wanapoishi Wakenya wengi, daahh inasikitisha sana kwa kweli.
Screenshot_20210204-173735.jpg
 
Yaani mumeamka baada ya kunyamba kitandani na hata kabla ya kupiga mswaki au kunywa staftahi, mumeshaanza kupost utumbo humu? Mpo addicted na Kenya jameni. Wake zenu bado wako kitandani asubuhi hii, badala muwape mahaba, mpo busy kupost mavi kuhusu Kenya.
 
The world biggest slam ipo india mumbay sehemu inaitwa dharam
Cha ajabu huko ndipo mapato mengi yanapotokea, Kuna home made industries, thief market, street foods
 
Huyu jamaa anaitwa geza unibamba tu sana😂😂😂

Jamaa kwani analipwa ngapi na CCM to constantly spew hate towards Kenya.

Msela, have you ever travelled outsided Tz? Geza Ulole
 
Hii karne ya ishirini na moja bado kuna nyumba za matope katikati mwa Mji kuu wa Tanzania wa Dodoma. Sijui mnatoa wapi ubavu huu wa kutajataja Nairobi. Ondoeni takataka katikati mwa mji mkuu wenu kabla hamjakuja hapa kujipiga kifua

147078419_2201935233279842_6514764227527779856_n.jpg
 
Eastlands is the heartbeat of the whole of EAST AND CENTRAL AFRICA.

Hakuna pengine kama hapa ukanda wetu. Hata hio Dar es sluuuuum haifiki. Jiji lenu la mabanda na matope.

Hii hapa Kayole,Umoja,Donholm...hata hizo dandora,Kawangware,Mathare na Huruma zafanana

 
147078419_2201935233279842_6514764227527779856_n.jpg



WENYE NYUMBA ZA TOPE MBEYA MJINI KUHAMISHWA
HALMASHAURI ya Jiji la Mbeya imeagizwà kuwahamisha watu ambao nyumba zao hazipo kwenye mpangilio wa mipango miji na kuwapatia viwanja vingine pembezoni mwa mji.
Agizo hilo lilitolewa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Mariam Mtunguja wakati akizungumza na Madiwani pamoja na watendaji wa halmashauri hiyo katika mkutano wa Baraza la Madiwani.
Mtunguja alisema jiji la Mbeya bado haliendani na hadhi ya kuitwa jiji kutokana na hali ilivyo kwenye mpangilio wa makazi.
“Niaibu sana kuona mpaka leo hii eti ukipita katikati ya mji kuna nyumba za tope, kila Nyumba na langi yake, halafu jiji mnawatalaam wa mipangomiji ambao wanaweza kushauri namna bora ya kupanga makazi yetu na tukawa na jiji linalo vutia kama ilivyo majiji mengine,” alisema.
 
Hii karne ya ishirini na moja bado kuna nyumba za matope katikati mwa Mji kuu wa Tanzania wa Dodoma. Sijui mnatoa wapi ubavu huu wa kutajataja Nairobi. Ondoeni takataka katikati mwa mji mkuu wenu kabla hamjakuja hapa kujipiga kifua

View attachment 1698010
Ndio maana hao wachagga wanatorokea Kenya😂😂😂

Wamejazana Kibera,Kawangware na Gikomba😂😂...hizo karatasi za Tz hazina maana Kenya
 
Mnakula Albino asubuhi kama nyama choma na huku mpo busy kupost kuhusu Kenya
Screenshot_20210209-085541.jpg
Screenshot_20210209-085555.jpg
Screenshot_20210209-085614.jpg
 
Back
Top Bottom